Mvomero, Morogoro: Waziri Bashungwa abaini upotevu wa shilingi milioni 231 ujenzi wa miundombinu Sekondari ya Kumbukumbu ya Sokoine

Viongozi wakuu wa Serikali kuanzia Rais, Wabunge na Madiwani walipatikana kwa rushwa.unategemea nani ataweza kusimamia kitu ambacho kimetokana nae.

Ndio maana wengine tulimuona Magufuli kama Muigizaji,sababu nae alikuwa zao la rushwa na mula rushwa,still akawa anakemea wala rushwa-yalikuwa maajabu ya Dunia.

The only way tukitaka kukomesha rushwa tuanze katika upatikanaji wa Viongozi wakubwa kama Rais,tuhakikishe hawapatikani kwa rushwa.
Mbowe mwenyewe alikuta rushwa,akamuzia nafasi ya kugombea urais Lowassa, katika kizazi hiki cha kisasa usipo kuwa mla rushwa unaonekana lofa, chadema na ccm tofauti yao nikuwa moja ni mtawala mwingine ni mpiga debe ili nae mdomo uende kinywani.
 
Mfumo unaruhusu upigaji utakuta wanaulizana Na mimi mgao wangu uko wapi?
Nchi pekee waizi wanaiba hela na wanafukuzwa tu
Hakuna kufungana kabisa siku mtawafunga watu miaka 30 kwa wizi basi wengine watashika adabu

Wacha wale ndio maisha mliokubaliana nao so what ?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom