Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,664
Kwa ile amri ya mkuu wa nchi kuhusu mavazi ya heshima kwa wacheza muziki mimi natabiri muziki wa bongo utashuka thamani yaani mashabiki wa kuangalia video zake watapungua.
Maana hakuna cha maana watu walikuwa wakikiangalia bali ni mavazi ya nusu utupu na matiti yaliyopigwa jeki na sidiria za kisasa.
Wenye uwezo wa kudownload video hebu chekini ule muziki wa mwnamuziki Darasa mtamwona yule dada alivyo nusu uchi mpaka mchukua video alishindwa ku edit..
Maana hakuna cha maana watu walikuwa wakikiangalia bali ni mavazi ya nusu utupu na matiti yaliyopigwa jeki na sidiria za kisasa.
Wenye uwezo wa kudownload video hebu chekini ule muziki wa mwnamuziki Darasa mtamwona yule dada alivyo nusu uchi mpaka mchukua video alishindwa ku edit..