Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,036
Nasikia wamerekodi CD yenye nyimbo tatu.. itachezwa Ijumaa asubuhi..ili wajumbe waweze kuburudika nayo huko Butiama. Na miye nimekaa mkao wa kula!
Nasikia wamerekodi CD yenye nyimbo tatu.. itachezwa Ijumaa asubuhi..ili wajumbe waweze kuburudika nayo huko Butiama. Na miye nimekaa mkao wa kula!
Nasikia wamerekodi CD yenye nyimbo tatu.. itachezwa Ijumaa asubuhi..ili wajumbe waweze kuburudika nayo huko Butiama. Na miye nimekaa mkao wa kula!
KWa CCM Ipi??Ya Kina Makamba na chiligati??Hakuna jipya zaidi ya kwenda kurudisha Heshima na Nidhamu ya chama ambayo ilikuwa imepotea.na Ushauri walipewa na Mzee Mkapa,la sivyo wajue Chama Kitawashinda.Nasikia wamerekodi CD yenye nyimbo tatu.. itachezwa Ijumaa asubuhi..ili wajumbe waweze kuburudika nayo huko Butiama. Na miye nimekaa mkao wa kula!
Bi mdogo mbona wenzio wameanza kusakata rumba angalia kwenye thread ya Enigma "FYI"
Jamani muziki umeanza au bado uko kwenye finishing stage?