Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Joined
- Mar 10, 2006
- Messages
- 32,787
- Points
- 2,000
Nasikia wamerekodi CD yenye nyimbo tatu.. itachezwa Ijumaa asubuhi..ili wajumbe waweze kuburudika nayo huko Butiama. Na miye nimekaa mkao wa kula!
MC atakuwa nani ktk mziki huo?Nasikia wamerekodi CD yenye nyimbo tatu.. itachezwa Ijumaa asubuhi..ili wajumbe waweze kuburudika nayo huko Butiama. Na miye nimekaa mkao wa kula!
Naamini this time producer kashamaliza kazi yake ni suala la namna ya kurelease tu.Nasikia wamerekodi CD yenye nyimbo tatu.. itachezwa Ijumaa asubuhi..ili wajumbe waweze kuburudika nayo huko Butiama. Na miye nimekaa mkao wa kula!
KWa CCM Ipi??Ya Kina Makamba na chiligati??Hakuna jipya zaidi ya kwenda kurudisha Heshima na Nidhamu ya chama ambayo ilikuwa imepotea.na Ushauri walipewa na Mzee Mkapa,la sivyo wajue Chama Kitawashinda.Nasikia wamerekodi CD yenye nyimbo tatu.. itachezwa Ijumaa asubuhi..ili wajumbe waweze kuburudika nayo huko Butiama. Na miye nimekaa mkao wa kula!
Asante sana,Bi mdogo mbona wenzio wameanza kusakata rumba angalia kwenye thread ya Enigma "FYI"
Link to 'music' : http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=11368Jamani muziki umeanza au bado uko kwenye finishing stage?