Kweli we ni kichaa kabisa.mvua zote za bukoba mwaka mzima eti kuwe na shida ya maji? Hivi tz kunasehemu inayopata mvua kama Bukoba? Hivi unajua bukoba kuna maziwa kibao mfano ikimba huko Bukoba vijijini,burigi na lile la kule karagwe na bado hujagusa ziwa Victoria.
Mamlaka ya maji bukoba inaitwa buwasa hebu ifuatilie na miradi yake sio kuongelea upupu hapa ndo maana Meno yako yameoza
Sent using
Jamii Forums mobile app