Muvi za kibongo zinakera

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,522
Mimi ni mmoja ya watu ambao tangu zamani nilikua sipend kabisa kuangalia muvi za kibongo. Kuna ndugu yangu mmoja alinishawishi kwa kuniletea cd kama kumi hivi ila baada ya kuziangalia nimeapa kutoangalia tena muvi. KWANZA,hakuna uhalisia kabisa kwenye hizo muvi yan ni bora kuangalia maigizo ya kwenye tv. Mtu anaekt wakat mwingine anajisahau anaishangaa kamera,au kinasa sauti kinaonekana kabisa. Hata matukio yenyewe sanyingine ni imaginary kwa mfano et mtu anajiambia ngoja niende kwenye fridge nikachukue maji ninywe af niondoke wakat ki uhalisia m2 huwez jiambia wakat unaenda kunywa maji. PILI,TAtizo ni lack of continuity,yan hapa ndo pananikera sana. Unakuta muvi mmoja ina part1 adi 3 alafu hamna hata cha maana basi yan wanafanya makusudi ili kuwalia pesa wananchi. Yan kwa kwel ukianza kuzichambua kero ni nying sana mpaka nashndwa maliza. TATU,wanatufanya wapumbav kwakuiba script za wanaijeria na hollywood. Kuna muv unaamgalia ad umajiuliza jaman mbnna hii muvi kma muv flan? Yan wanachofanya ni kucopy na kupaste
 
Mimi ni mmoja ya watu ambao tangu zamani nilikua sipend kabisa kuangalia muvi za kibongo. Kuna ndugu yangu mmoja alinishawishi kwa kuniletea cd kama kumi hivi ila baada ya kuziangalia nimeapa kutoangalia tena muvi. KWANZA,hakuna uhalisia kabisa kwenye hizo muvi yan ni bora kuangalia maigizo ya kwenye tv. Mtu anaekt wakat mwingine anajisahau anaishangaa kamera,au kinasa sauti kinaonekana kabisa. Hata matukio yenyewe sanyingine ni imaginary kwa mfano et mtu anajiambia ngoja niende kwenye fridge nikachukue maji ninywe af niondoke wakat ki uhalisia m2 huwez jiambia wakat unaenda kunywa maji. PILI,TAtizo ni lack of continuity,yan hapa ndo pananikera sana. Unakuta muvi mmoja ina part1 adi 3 alafu hamna hata cha maana basi yan wanafanya makusudi ili kuwalia pesa wananchi. Yan kwa kwel ukianza kuzichambua kero ni nying sana mpaka nashndwa maliza. TATU,wanatufanya wapumbav kwakuiba script za wanaijeria na hollywood. Kuna muv unaamgalia ad umajiuliza jaman mbnna hii muvi kma muv flan? Yan wanachofanya ni kucopy na kupaste
Ndugu asavali uangalie vichekesho vya Kingwendu,king Majuto,Asenga,kuliko akina Kanumba,Ray Aunt Ezekiel,kwani utakuwa unapoteza muda wako buure na kuongezea bill ya umeme,Bongo movies ni kuuza sura tu ,kupiga kelele na kujishabadua kwa kujifanya ma super star wa bongo
 
Ndugu asavali uangalie vichekesho vya Kingwendu,king Majuto,Asenga,kuliko akina Kanumba,Ray Aunt Ezekiel,kwani utakuwa unapoteza muda wako buure na kuongezea bill ya umeme,Bongo movies ni kuuza sura tu ,kupiga kelele na kujishabadua kwa kujifanya ma super star wa bongo

nakuunga mkono ndugu,yan hawaigi hata hao wenzao jinsi wanavoheshm sanaa nakuwaletea mafanikio
 
Tena afadhali zile za wakina mzee jongo zina uhalisia na mama ambiliki na mzee small kuliko hizi za hawa wameelekeza dhamira kwenye movi za Nollywood wakati pia hizo hawajazifikia wanashindwa kuvuta uhalisia wa mtanzania katika maigizo yao kabisa si wewe tu hata mimi hata nikizikuta African Magic huwa nahama channel nyingine afadhali niangalia nyimbo za dini kuliko sinema hizo. Wanatakiwa wasaidiwe wapelekwe shule kuboresha kazi zao.
 
Mimi hoi kwenye movie nyingi kati ya scene na scene..unakuta labda mtu anatoka nyumbani kwenda mahali, sasa hicho kitendo kinaweza kuchukua 20 minutes mpaka unaboreka..yani mpaka apande kama gari au kutembea,geti lifunguliwe na afike anakoenda mwanagaliaji unakuwa umeshachoka..very boring!!
Yani movie yenye part 1&2 inatakiwa kuwa trailer tu mana hamna kitu chenye mtiririko wa maana kwenye movie..
 
Bado wako kwenye stage ya Maigizo tuu si ndiko walikotokea? bado hawajaingia kwenye MOVIES!
 
zinapendwa na watu wasiujua. ni kweli inabidi tuthamini vitu vyetu lakini na wao pia wajitahidi kuact vizuri. muda mwingine sauti haisisiki yani vioja vitupu.
 
Ukitaka uchafuke moyo nenda kwenye translation zao kiswahili kwenda kiingereza

Huwa naangalia Africa Magic alafu naona aibu

Tatizo hawajui kama kuigiza ni profession.......sina hata uhakika kama wana muda wa kutafuta ushauri kwa watu tofauti ambao ndio ungewasaidia kutengeza kitu chenye maana
 
Mimi ni mmoja ya watu ambao tangu zamani nilikua sipend kabisa kuangalia muvi za kibongo. Kuna ndugu yangu mmoja alinishawishi kwa kuniletea cd kama kumi hivi ila baada ya kuziangalia nimeapa kutoangalia tena muvi. KWANZA,hakuna uhalisia kabisa kwenye hizo muvi yan ni bora kuangalia maigizo ya kwenye tv. Mtu anaekt wakat mwingine anajisahau anaishangaa kamera,au kinasa sauti kinaonekana kabisa. Hata matukio yenyewe sanyingine ni imaginary kwa mfano et mtu anajiambia ngoja niende kwenye fridge nikachukue maji ninywe af niondoke wakat ki uhalisia m2 huwez jiambia wakat unaenda kunywa maji. PILI,TAtizo ni lack of continuity,yan hapa ndo pananikera sana. Unakuta muvi mmoja ina part1 adi 3 alafu hamna hata cha maana basi yan wanafanya makusudi ili kuwalia pesa wananchi. Yan kwa kwel ukianza kuzichambua kero ni nying sana mpaka nashndwa maliza. TATU,wanatufanya wapumbav kwakuiba script za wanaijeria na hollywood. Kuna muv unaamgalia ad umajiuliza jaman mbnna hii muvi kma muv flan? Yan wanachofanya ni kucopy na kupaste



hospital nzuri ya kulazwa ka mumivu ya kichwa inayosababishwa na kuvimba kwa mishipa ya fahamu kutokana na HASIRA zilizopitiliza iko pale maeneo ya mjini, ukiulizia utaipata ni maarufu tu mi walinilaza kwa siku tatu tu hv na nilitoka na afya njema kabisa.. ila walinishauri nisirudie tena kuangalia movie za kibongo kwani tatizo likijirudia huponi. nenda mkuu nilikuwa na tatizo kama lako.. ila ss nipo poa na nafuata ushauri wa MADAktari BINGWA hakuna kuangalia MEDIA product ya Bongo...

pia nimesikia kuwa ugonjwa huo pia unaweza kumapta pia yule anayependa kusikiliza REDIO FANYA MZAHA (A.K.A FM redio) kwa muda mrefu zaidi.. kwani ataanza kusona dalili za kukosa usingizi na kuota ndoto za ajabu ajabu zikiambatana na hasira kali.

Pole ndugu ndio matatizo ya dunia usijali
 
There is some progress though, albeit painstakingly slow, ukilinganisha na huko walikotoka; ni vizuri zaidi kuwashauri juu ya namna bora ya kuboresha sanaa yao badala ya kuwalaumu tu
 
Mimi ni mmoja ya watu ambao tangu zamani nilikua sipend kabisa kuangalia muvi za kibongo. Kuna ndugu yangu mmoja alinishawishi kwa kuniletea cd kama kumi hivi ila baada ya kuziangalia nimeapa kutoangalia tena muvi. KWANZA,hakuna uhalisia kabisa kwenye hizo muvi yan ni bora kuangalia maigizo ya kwenye tv. Mtu anaekt wakat mwingine anajisahau anaishangaa kamera,au kinasa sauti kinaonekana kabisa. Hata matukio yenyewe sanyingine ni imaginary kwa mfano et mtu anajiambia ngoja niende kwenye fridge nikachukue maji ninywe af niondoke wakat ki uhalisia m2 huwez jiambia wakat unaenda kunywa maji. PILI,TAtizo ni lack of continuity,yan hapa ndo pananikera sana. Unakuta muvi mmoja ina part1 adi 3 alafu hamna hata cha maana basi yan wanafanya makusudi ili kuwalia pesa wananchi. Yan kwa kwel ukianza kuzichambua kero ni nying sana mpaka nashndwa maliza. TATU,wanatufanya wapumbav kwakuiba script za wanaijeria na hollywood. Kuna muv unaamgalia ad umajiuliza jaman mbnna hii muvi kma muv flan? Yan wanachofanya ni kucopy na kupaste

Mtoa thread na wachangiaji!
Ni vizuri kama tunaona kama watanzania na kujifanyia sisi wenyewe evaluation-kuna baadhi ya watanzania tena wengi tu wana tabia ya kujipa matumaini ya uwongo wakisaidiwa na baadhi ya vyombo vya habari,nafikiri ndiyo tumefikia hapo tulipo..sijawahi kuona ukosoaji kama huu kutoka vyombo vya habari,kinachofanyika ni kusifia tu na hivyo kupelekea wahusika (yaani wasanii na maproducer) kuvimba kichwa na kuona kazi wanazofanya na kutoa ni za hali ya juu.
Kifupi Tanzania hakuna sinema hata moja iliyochezwa unaweza kuiita sinema katika vigezo na viwango vya sinema..inasikitisha sana.

The same applies inapokuja kwenye mpira wa miguu,hakuna kitu kwenye clubs wala timu ya Taifa ila tunachofanya ni kujisifia tu ili tujipe matumaini,embu tulinganishe mpira unaochezwa Ulaya,Amerika ya kusini au Afrika Magharibi kweli tunafikia hata nusu ya standard ile??
Tuwe wa kweli!!!
 
muvi zipi hizo za kibongo, bongo kuna muvi? bongo kuna maigizo tu
 
Mie binafsi sijawahi watch hata moja, nawajua kina Ray enzi zile za maigizo, hao kina auntie naniii nawasoma magazetini tu
 
He! kuna watu bado hua wanaangalia hizo? Hii mpya. Mimi niliacha zamani kwasababu ya:
1. SAUTI. Muvi za kibongo sauti ni mbovu kupita maelezo. Yaani ukute wanaekti barabarani, kando ya bahari, au kwenye mkusanyiko wa watu, husikii chochote. Ni shhhhhhhh kwa kwenda mbele.
2. UHALISIA sifuri
3. WASHIRIKI ni walewale, wanatumia majina HAYOHAYO kila movie, wana act positions ZILEZILE. Veeery boring!
4. Sijawahi kuona story mpya kwenye movie za kibongo. Copy paste from Nigeria, Hollywood.
5. Ila we unategemea nini kama Producer, Director, Script editor, sijui Sound, Camera, Animation, Story, zote zinafanywa na mtu mmoja?

Ushauri: Wasanii wawe serious. Watu wakasome. Tupate professionals kwene hii industry. Vifaa vya kisasa n.k
 
Bado wakina Kanumba wanavyoringa kwenye hizo movie utafikiri ni demu anataka kutongozwa, mimi huwa sina kabisa na muda wa hizo katuni za kibongo bora uangalie Tom & Jerry kuliko huo uchafu
 
Ndugu asavali uangalie vichekesho vya Kingwendu,king Majuto,Asenga,kuliko akina Kanumba,Ray Aunt Ezekiel,kwani utakuwa unapoteza muda wako buure na kuongezea bill ya umeme,Bongo movies ni kuuza sura tu ,kupiga kelele na kujishabadua kwa kujifanya ma super star wa bongo

Kazi yao kujichubua na filamu za ngono....Go to hell Tanzanian movies
 
Bado wakina Kanumba wanavyoringa kwenye hizo movie utafikiri ni demu anataka kutongozwa, mimi huwa sina kabisa na muda wa hizo katuni za kibongo bora uangalie Tom & Jerry kuliko huo uchafu

Ninazo Tommy and Jerry...Tena uwa naona sayansi kubwa sana katika hizi katuni kuliko hizo movies za hao wahuni............mtu mmoja utakuta yeye ni;

  1. Script writter
  2. Director
  3. sound manager
  4. Flow manager
  5. producer
  6. Editor
  7. Main Character etc
Pumbavu..................
 
Bado wako kwenye stage ya Maigizo tuu si ndiko walikotokea? bado hawajaingia kwenye MOVIES!

hawajuhi alafu wabishi wakilekebishwa...tatzo actors/tresses wengi ni std7/fm 4 leavers alafu failures...elimu ni kila kitu hawaoni wenzao walvyokwenda shule za maana..

Imagine mtu katoka kjijin jana utamwona ksho anacheza movie, kwanza fm4 ana dv0 alafu hana exposure..ataperform nn huyu? Kingine, kuna events mfano 'ukahaba' alafu 'mama wa nyumbani' hzi ni scenes mbili tofauti lakini kwenye mavazi ..hawana tofauti hawa wawili,hata mama wa nyumbani anavaa kama anacheza sehemu ya ukahaba..mwisho mchezo wote unakuwa hovyo hovyo..jamani mkasome!
 
mkuu nilikuwa nasafiri kwenda mbeya na mabasi yetu wakatuwekea movie ya 20%
aisee inaboa kinoma yaani,kwenye basi kulikuwa na watu wa mataifa mbalimbali yaani niliona aibu sana
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Back
Top Bottom