bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,842
Na waelekezwe wasivae vile viguo vya kijinga vya kuonyesha matiti nje na visivyo na mpango wo wote. Hata hao wazungu siyo kwenye kila movie wanavaa hivyo.
Kama walivyoongea wadau wangejaribu kufocus kwenye michezo kama ya akina Mzee Small ambayo inayo uhalisia wa maisha yetu kuliko kujidai uzungu na unigeria wasiouweza.
Kama walivyoongea wadau wangejaribu kufocus kwenye michezo kama ya akina Mzee Small ambayo inayo uhalisia wa maisha yetu kuliko kujidai uzungu na unigeria wasiouweza.