Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

Muungano wa Serikali 3 ni bora Sana

tenende

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
6,511
Reaction score
506
Serikali 3 ni bora sana kwa sababu zifuatazo:
(i) Ni muarobaini wa malalamiko ya kuonewa au kumezwa;
(ii) Ni balance nzuri ya uwiano serikalini - 50 kwa 50 katika uwakilishi na gharama;
(iii) Hujuma za kuingiliana ktk chaguzi na kulazimisha chama kimoja kiongoze pande zote mbili zitadhibitiwa kirahisi;
(iv) Hoja ya muunda wa serikali kuwa sera za vyama tutakuwa tumeimaliza;
(v) Gharama za uendeshaji zitapungua kwa zaidi ya 50%. Mfano mmoja, serikali ya Muungano (serikali 2) kwa sasa (siyo SMZ) inalipa wabunge zaidi ya 80 wa Zanzibar (yenye wapigakura pungufu ya laki 4 na 50 na ukubwa sawa na wilaya ya Sengerema). Kila mbunge akilipwa milioni 11 kwa mwezi (11x80) sawasawa na milioni mia 8 na 80. Muundo wa serikali 3 tutakuwa na wabunge 30 au 40 (15 au 20 toka kila upande kufanya kazi za muungano wakigharamiwa na pande zote 2) na wabunge Serikali ya Tanganyika wapatao 150. Huu ni mzigo mwepesi kwa walipa kodi wote. SERIKALI MBILI NI MZIGO!!!!!
 
Mi sijaelewa vizuri serikali tatu ni mzigo kivipi..
Naomba anae pinga serikali tatu anieleweshe
 
Serikali 3 ni bora sana kwa sababu zifuatazo:
(i) Ni muarobaini wa malalamiko ya kuonewa au kumezwa;
(ii) Ni balance nzuri ya uwiano serikalini - 50 kwa 50 katika uwakilishi na gharama;
(iii) Hujuma za kuingiliana ktk chaguzi na kulazimisha chama kimoja kiongoze pande zote mbili zitadhibitiwa kirahisi;
(iv) Hoja ya muunda wa serikali kuwa sera za vyama tutakuwa tumeimaliza;
(v) Gharama za uendeshaji zitapungua kwa zaidi ya 50%. Mfano mmoja, serikali ya Muungano (serikali 2) kwa sasa (siyo SMZ) inalipa wabunge zaidi ya 80 wa Zanzibar (yenye wapigakura pungufu ya laki 4 na 50 na ukubwa sawa na wilaya ya Sengerema). Kila mbunge akilipwa milioni 11 kwa mwezi (11x80) sawasawa na milioni mia 8 na 80. Muundo wa serikali 3 tutakuwa na wabunge 30 au 40 (15 au 20 toka kila upande kufanya kazi za muungano wakigharamiwa na pande zote 2) na wabunge Serikali ya Tanganyika wapatao 150. Huu ni mzigo mwepesi kwa walipa kodi wote. SERIKALI MBILI NI MZIGO!!!!!
we ni mjinga tanganyika tuko mil zaidi ya 40 zanzibar wapo zaiidi ya mil 3 sasa ukisema tugawane 50/50 ni sawa......
 
Kwenye thread inzoulizamaswali kuhusu serikali 3 au mkataba mnakimbia.
Kuna nini cha ziada hapa zaidi ya kile kilichopo katika thread nyingine?

Labda nikuulize Tayadi maana sitachoka, Hivi hiyo ya muungano(tatu) itashughulikia nini?
 
At long last munaanza kuona mwangaza. Na wazanzibari walikuwa na kilio hiki kwa muda wa miaka 48. Lakiini kulingana na wakati tulio nao, serikali tatu ni gharama kubwa sana. Bora tugawane mbao. Kila mmoja aendeshe jahazi lake ki vyake.
 
Serikali 3 ni bora sana kwa sababu zifuatazo:
(i) Ni muarobaini wa malalamiko ya kuonewa au kumezwa;
(ii) Ni balance nzuri ya uwiano serikalini - 50 kwa 50 katika uwakilishi na gharama;
(iii) Hujuma za kuingiliana ktk chaguzi na kulazimisha chama kimoja kiongoze pande zote mbili zitadhibitiwa kirahisi;
(iv) Hoja ya muunda wa serikali kuwa sera za vyama tutakuwa tumeimaliza;
(v) Gharama za uendeshaji zitapungua kwa zaidi ya 50%. Mfano mmoja, serikali ya Muungano (serikali 2) kwa sasa (siyo SMZ) inalipa wabunge zaidi ya 80 wa Zanzibar (yenye wapigakura pungufu ya laki 4 na 50 na ukubwa sawa na wilaya ya Sengerema). Kila mbunge akilipwa milioni 11 kwa mwezi (11x80) sawasawa na milioni mia 8 na 80. Muundo wa serikali 3 tutakuwa na wabunge 30 au 40 (15 au 20 toka kila upande kufanya kazi za muungano wakigharamiwa na pande zote 2) na wabunge Serikali ya Tanganyika wapatao 150. Huu ni mzigo mwepesi kwa walipa kodi wote. SERIKALI MBILI NI MZIGO!!!!!


NA JE, Kutengana na kuwa Nchi Mbili tofauti Gharama zake si ndio zitakuwa pungufu mara dufu?

Kwanini tuwe na Serikali tatu wakati Mmoja wetu hata hataki kutuona HAI? Wanaona VIONGOZI wetu kama WALAFI

SIJUI NYERERE alibeba nini toka ZANZIBAR chenye UMARUMARU... Sidhani aliibia Zanzibar zaidi ya Alhaj Mohammedraza

[h=1][/h]
 
Serikali 3 ni bora sana kwa sababu zifuatazo:
(i) Ni muarobaini wa malalamiko ya kuonewa au kumezwa;
(ii) Ni balance nzuri ya uwiano serikalini - 50 kwa 50 katika uwakilishi na gharama;
. SERIKALI MBILI NI MZIGO!!!!!

WanaJF,
Mimi nafikiri kuwa Mwalimu Nyerere alitusaidia dawa ya matatizo ya (usanii)Muungano wa Tanzania kupitia hotuba yake bungeni na kupitia hiki kitabu chake.

Vyenginevyo ni kutafuta kuvurugana tu na kulikoroga zaidi.

Mwalimu alisema mengi na haya yakiwa baadhi yake.

Basi na tutafute mfumo ambao utaiondolea Zanzibar hofu hii ya kumezwa, bila kuibebesha Tanganyika mzigo wa kuendesha Serikalli mbili zenye uzito unaolingana.

Labda ni vizuri kukumbusha kwamba shabaha ya baadhi yetu ilikuwa nikuunganisha nchi za Afrika Mashariki ziwe nchi moja. Na wakati Zanzibar na Tanganyika zinaungana, Kenya, Uganda na Tanganyika zilikuwa katikati ya mazungurnzo ya kutafuta uwezekano, wa kuungana. Kama jambo hilo, lingetokea, nina hakika kabisa kwamba mfumo wa nchi mpya ambayo ingezaliwa ungelikuwa ni Shirikisho.

Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar.

Uk 11-12 link Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)

 
Je tumeshapata sababu ya kuimeza Zanzibar?

Je tumeshapata sababu ya kuanzisha ubeberu (ukoloni) mpya?

Je Shirikisho la Afrika la Mashariki la kisiasa( kuunganisha nchi za Afrika Mashariki) liko njiani kuja/ kuundwa?

Nani kati yetu anapinga kuwa Mwalimu Nyerere alishatuonesha njia kufikia kule tunapotaka, Shirikisho la nchi moja kubwa yenye wanachama wengi?

Nani atamfunga paka kengele?

Ni wakati muafaka kwa CCM kuona upepo unakoelekea na kufanya maamuzi magumu.Hapa nimesema CCM kwa sababu ndio wanaoongoza serikali/ nchi.

Au nini maana ya kauli hizo za Mwalimu?
 
Serikali mbili zinatosha ila muundo ubadilishwe kidogo! Tuwe na rais wa jamhuri wa muungano wa tanzania akisaidiana na mawaziri wakuu kutoka Tanganyika na Zanzibar ambao ndiyo watendaji wakuu wa kila upande na wenye mamlaka ya kuwa na mabaraza yao mawaziri. Mambo mengine uliyosema hapo juu yanabaki kama yalivyo.
 
Muungano huo ulioasisiwa na vyama vilivyozaa Hichi Chama cha mabwepande uvunjwe

Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono. Muungano ulioshinikizwa na Nyerere na Karume usio na faida kwa pande zote, sioni sababu ya kuwepo.
 
Kwenye thread inzoulizamaswali kuhusu serikali 3 au mkataba mnakimbia.
Kuna nini cha ziada hapa zaidi ya kile kilichopo katika thread nyingine?

Labda nikuulize Tayadi maana sitachoka, Hivi hiyo ya muungano(tatu) itashughulikia nini?[/QUOTE]



(i) Fuatilia kwenye thread hizo uone michango yetu!
(ii) Itashughulikia mambo ya muungano kama yalivyoainishwa na katiba ya sasa. Kwa sasa mambo ya muungano yanashughulikiwa na serikali inayoitwa ya muungano - kwa gharama za Tanganyika iliyofichwa kapuni. Mimi ninaamini tukiwa na shirikisho hatuwezi kujiingiza katika kujaza wabunge toka zanzibar kwenye serikali ya MUUNGANO.
 
Kwenye thread inzoulizamaswali kuhusu serikali 3 au mkataba mnakimbia.
Kuna nini cha ziada hapa zaidi ya kile kilichopo katika thread nyingine?

Labda nikuulize Tayadi maana sitachoka, Hivi hiyo ya muungano(tatu) itashughulikia nini?[/QUOTE]



(i) Fuatilia kwenye thread hizo uone michango yetu!
(ii) Itashughulikia mambo ya muungano kama yalivyoainishwa na katiba ya sasa. Kwa sasa mambo ya muungano yanashughulikiwa na serikali inayoitwa ya muungano - kwa gharama za Tanganyika iliyofichwa kapuni. Mimi ninaamini tukiwa na shirikisho hatuwezi kujiingiza katika kujaza wabunge toka zanzibar kwenye serikali ya MUUNGANO.
Hujajibu swali na kama umejibu basi kuna vitu huvijui.

Moja ya mambo ya muungano ni ushirikiano wa kimataifa. Sasa ZNZ inataka kiti UN, hilo unasemaje nalo ni la muungano tena ikifika hapo.

Ulinzi na usalama: Gharama za jeshi zinalipwa na Tanganyika 100, bajeti ya jeshi ni zaidi ya bajeti ya ZNZ, sasa ZNZ itachangia nini?

Hilo la wabunge ni dogo sana, angalia mambo kwa upana. Bajeti ya ZNZ ni bilioni 600, pungufu kuliko bajeti ya afya ya muungano. ZNZ ikitaka muungano huo haitakuwa na cha kuchangia kwasababu bajeti yake hairuhusu kutoa hata senti tano, infact haina bajeti yake ina bajeti kutokana hazina Dar! kuanzia msihahara ya wafanyakazi hadi vibili vya umeme.

Fikiria kidogo, bilioni 50 ZNZ haiwezi kulipa, itapata wapi bilioni 400 za ulinzi na usalama! c'mon think about it.
Hii thread yako nakushauri uifunge, ni too low ndugu yangu! ninakusaidia sikukashifu.
 
Ni wazo zuri la kuwa na Serikali tatu(3). Vile vile, Mihimili iwe 4: Bunge,Serikali, Mahakama na Wananchi!
 
Serikali tatu ndo nzuri bana maana kwa sasa Muungano huu unagharamiwa pakubwa na Tanganyia. TAYADI nakuunga mkono.
Mi sijaelewa vizuri serikali tatu ni mzigo kivipi..
Naomba anae pinga serikali tatu anieleweshe
 
50% kwa 50% ktk muungano wa Serikali tatu ndo sahihi kwa7bu itatupunguzia gharama bara na itaongeza Uhuru wa Znz kujiendesha na kujiamulia mambo yake yenyewe hivyo kupunguza hasira za makundi kama uamsho.
we ni mjinga tanganyika tuko mil zaidi ya 40 zanzibar wapo zaiidi ya mil 3 sasa ukisema tugawane 50/50 ni sawa......
 
Tuendelee tu na serikali hizi mbili zilizopo au tuunde serikali moja tu, tuachane na interest za wanasiasa
 
Serikali mbili zinatosha ila muundo ubadilishwe kidogo! Tuwe na rais wa jamhuri wa muungano wa tanzania akisaidiana na mawaziri wakuu kutoka Tanganyika na Zanzibar ambao ndiyo watendaji wakuu wa kila upande na wenye mamlaka ya kuwa na mabaraza ya mawaziri.

Tanganyika ipi?. Ile iliyokufa 1964?. Bila kuirejesha Serikali ya Tanganyika bado wazo lako halijatimia mkuu. Serikali3 haziepukiki kabisa.
 
Back
Top Bottom