muungano ulikuwa tarehe 22/4/1964

kingxvi

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
879
150
kuna mkufunzi wetu mmoja hapa chuoni kwetu udom ametueleza leo muungano ulikuwa tarehe 22 april ndio siku waliosaini makubaliano tarehe 26 ni siku ilikuwa ya sherehe ya muungano pia kuna mzee alikuwa anahojiwa BBc sasaivi pia kazungumzia hilo swala kuwa hati zilisainiwa tarehe 22
 
kuna mkufunzi wetu mmoja hapa chuoni kwetu udom ametueleza leo muungano ulikuwa tarehe 22 april ndio siku waliosaini makubaliano tarehe 26 ni siku ilikuwa ya sherehe ya muungano pia kuna mzee alikuwa anahojiwa BBc sasaivi pia kazungumzia hilo swala kuwa hati zilisainiwa tarehe 22

Chuo kikuu kuna wahadhiri siyo wakufunzi. Habari za UDOM? Jitahidi kusoma usikomae tu JF watakula kichwa.
 
Uzuri ni Kwamba data za Wanafunzi waliomo JF ni rahisi tu kuzipata kama wamesupp au la.....Dogo komaa na Kitabu kwanza
 
Mbona mnadhalilisha taaluma zenu; ni kweli marais wa Tanganyika na Unguja walisaini hati ya mkataba wa muungano hiyo tarehe 22/4 1964, hata hivyo makubaliano hayo yalihitaji kuridhiwa na mabunge ya nchi hizo mbili ndiyo yapate nguvu ya kisheria; ridhaa hiyo ilipatikana tarehe 26/4/1964.
 
Habari za ndani zinasema Karume hakuwahi kusaini mkataba wowote wa muungano.Aliridhia kukaa madarakani kwa kutumia polisi wa kitanganyika waliofanya mapinduzi visiwani humo.

Thats a fact, the rest ni pumba tuu!
 
Back
Top Bottom