Muungano ukivunjika, Zanzibar kuwa 'Dubai ndogo'

hata wewe kuwaambia wenzio wana akil finyu ni UBAGUZI!
wazenj ni wabaguz bhana,usibishe,riference wewe mwenyewe

Post yangu nimeanza na herufi ya ^ maana yake yule wajuu yangu! Sasa kama mtu akili yake finyu asiambiwe? Mtu anaandika pumba za ajabu, hazina ata msingi yaani ilimradi tu mtu na yeye achangie aoneshe chuki zake!
 
dah huyu jamaa ana ufinyu wa kufikia basi kwa sasa waarabu wa dubai wanajiendeleza kwa kusoma vyuo vikubwa vya ulaya na marekani na hilo swala la kuwa mtasaidiwa mtakuja shikwa MASABURI mpende kufanya kazi nazi zenyewe zimeshazeeka na hyo mafuta yapo mtwara na lindi..mmebebwa hambebeki mashirika yenu yanadaiwa na tanesco..hadi mlizimiwa umeme..nyie jifanyeni mamwinyi tu

Na kuna wazanzibari wamesoma vyuo vikubwa sio marekani tu, wapo UK, france, russia, ukraine etc! Tena wamesoma kuliko hao waarabu, waarabu labda wasome dini!

Taja deni jengine? Nyie je mna madeni mangap?
 
ah ah dah unadhan hela zinazokopwa tunakula peke yetu...dah tena na hizo tabia za kuamka saa sita mchana na kumaliza kazi saa tisa hadi maduka mnafunga sijui itakuwaje mkiwa na nchi yenu
 
^ akili finyu. Zanzibar hakuna ubaguzi wa dini, wala kabila wala uunguja ja upemba! Hamuijui history ya visiwa vya zanzibar. Historia ya zanzibar ukiisoma ndo utajua jinsi gani unguja na pemba walivo ndugu, na hawatogombana, hizo ni fitna za babaenu Nyenyere, akitaka unguja na pemba watengane na wagombane wasiwe wamoja! Lakini hilo halitatokea!
Mimi naona kama ubaguzi utakuja kwenu tanganyika, mmoja kashasema apo juu, tujiandae kuwapokea wapemba wa tmk. Effect kubwa itaonekana kwa tanganyika, MAKABILA 120 hii ni hatari, kumejaa ubaguzi lakini tumewafundisha ustaarabu kidogo mkaelimika lakini tukiondoka mtabaguana sana na mtapigana. Tanganyika ni obstacle kwa maendeleo ya visiwani hili ni kweli. Kama sasa ivi, kuna ishu ya mafuta, sasa mimi nashangaa kwanini mnang'ang'ania mafuta ya watu? Kwanini mnaizuia znz kujiunga na OIC, watu wake ndo wanaotaka kwanini mnawazuia?
Hongera kwa maelezo yako mazuri lakini ngoja nikuweke sawa
  • kama unajua historia vizuri pemba sio zanzibar
  • unajua ikulu ya visiwa hivyo ilikuwa pemba
  • unajua salm hamed salim ambaye ni mpemba kwenye kura za maoni 2005 anashindana na kikwete alishindwa kwa kura nane na kati ya hizo nane saba ni wajumbe wa znz amabo wengi ni waunguja walimkataa
  • kimaendeleo pemba na unguja unajua hamna uwiano,sehemu kama wete hata polisi wanakimbia
  • Unguja mmewazidi pemba kimaendelea wakati hamna chochote tofauti na utalii ambao hata pemba upo sema haujakuzwa,bandari wanayo hamjataka kuiboresha kuweza kuhimili meli kuwa,kilimo cha karafuu wanacho unguja hamna,mazao mengi sana yanakubali pemba unguja hamna kitu labda vinazi vichache
Sina maana kwamba muungano ukivunjika mtagombana lakini nina maana chuki ya unguja na pemba ni kali kuliko ya znz na tanganyika,
  • Tanganyika haifaidiki na chochote znz tofauti na kiushuru kidogo cha utalii wanachogawana tra na zrb,kama ni mahakama ya kadhi zanzibar iko tangu zamani,smz hawajanyimwa kujiunga na oic,ila oic wanataka waingie tanzania nzima kutokana na uchache wa watu znz
KWA UJUMLA ZNZ WANAINYONYA TANGANYIKA NA HILO LIKO WAZI,NA SASA TUNATAKA SERIKALI YA TANGANYIKA TUMEWABEBA SANA,ndio maana jana kikwete anaapisha wajumbe wa katiba viongozi wenu wote wakuu walikuwa pale pamoja na huyo maalim Seif,sio shein,balozi idi,mwanasheria mkuu wa smz wote walikuwa pale,HAKUNA HATA MMOJA ALIYESEMA NAOMBA TUWAULIZE WANANCHI KAMA WANAUTAKA MUUNGANO,wote walikuwa kimya maana wanajua wanavoinyonya Tanganyika,Tundu Lissu bungeni alisema muungano huu wanapaswa kuulizwa wananchi lakini sijawahi kusikia hoja binafsi ya mbunge wa znz au baraza la wawakilishi znz akitaka ipigwe kura ya maoni kama wananchi wanautaka muungano,wanazidi kuwadanganya wananchi wao muungano unawanyonya ili wasifuatilie mambo ya msingi,
  • ZECO wanakata umeme waznz wanalalamika muungano kumbe nguzo zilizowekwa na zeco zimechoka pamoja na nyaya wanakata umeme kila siku lisaa zima kwa sababu zilizo ndani ya uwezo wao,Pale ZECO -shirika la umeme znz kuna mradi wa benki ya dunia wanawafadhili kwa hiyo ni suala la mipango tu na plans lakini hamna lolote watu sio wachapa kazi,serikali inaendelea kurubuni watu wake....................................
 
Mukitaka Muungano usivunjike basi ichaguweni ccm kila katikauchaguzi ? Maana kwa upande wa Zanzibar Muungano umekufa tokea kufa kwa Tanganyika.

Hivi sasa kilichobakia na kinacholinda Muungano usivunjike ni Kati yamahusiano ya Dodomana Kiswanduwi Zanzibar, upande wa Wazanzibar Muungano haupo na wanataka wakatiwowote uvunjike.

Muungano sio kitu cha kulazimishana kama munavyo taka nyiyiiwe, Muungano wowote wa nchi mbili ni ridhaa ya wananchi wenyewe kukubali aukuto kukubali hio ni haki yao na ni right yao.

Sasa kwa Muungano huu wa Zanzibarna ilokuwa Tanganyikahauna ridhaa yoyote ya wananchi wa pande mbili husika a.) b.) Muungano huuumeuwa Utaifa wa Tanganyikana historia yake ya kupigania uhuru na katiba yake yenye kulinda maslahi yaWatanganyika.

Sasa kwa upande wa hasara naona hasara kubwa ni kufa nchi nahistoria yake ya uhuru na ukombozi yani hivi sasa historia ya Tanganyika haipo inakuwepo historia ya Tanzania ambayo Tanzaniais coming from no where huku Zanzibar wakilindahistoria yao najina lao la Nchi.

Hapa ndipo ccm ilipowadia mitini Watanganyika kwakuwapotezea historia yaokwa maslahi ya walaji rishwa(Mafisadi).

Kwa hio wanao ngagania Muungano ilikuwa wawe Wazanzibar nasio nyiyi mulio na rasilimali zakila aina mulichokosa ni uongozi mbovu tu waccm.
 
Muungano ukivunjika.
Islamic Brother hood, Mujahideen, Bokho Haram etc etc watajazana sehemu moja ya muungano kule wanakowapiga risasi watu kwa kuuza pombe.
Ni nani anataka kuwa jirani na Somalia? Muungano huu unabeba matatizo mengi ambayo siku ukivunjika walihi Bilahi....................
 
Mukitaka Muungano usivunjike basi ichaguweni ccm kila katikauchaguzi ? Maana kwa upande wa Zanzibar Muungano umekufa tokea kufa kwa Tanganyika.

Hivi sasa kilichobakia na kinacholinda Muungano usivunjike ni Kati yamahusiano ya Dodomana Kiswanduwi Zanzibar, upande wa Wazanzibar Muungano haupo na wanataka wakatiwowote uvunjike.

Muungano sio kitu cha kulazimishana kama munavyo taka nyiyiiwe, Muungano wowote wa nchi mbili ni ridhaa ya wananchi wenyewe kukubali aukuto kukubali hio ni haki yao na ni right yao.

Sasa kwa Muungano huu wa Zanzibarna ilokuwa Tanganyikahauna ridhaa yoyote ya wananchi wa pande mbili husika a.) b.) Muungano huuumeuwa Utaifa wa Tanganyikana historia yake ya kupigania uhuru na katiba yake yenye kulinda maslahi yaWatanganyika.

Sasa kwa upande wa hasara naona hasara kubwa ni kufa nchi nahistoria yake ya uhuru na ukombozi yani hivi sasa historia ya Tanganyika haipo inakuwepo historia ya Tanzania ambayo Tanzaniais coming from no where huku Zanzibar wakilindahistoria yao najina lao la Nchi.

Hapa ndipo ccm ilipowadia mitini Watanganyika kwakuwapotezea historia yaokwa maslahi ya walaji rishwa(Mafisadi).

Kwa hio wanao ngagania Muungano ilikuwa wawe Wazanzibar nasio nyiyi mulio na rasilimali zakila aina mulichokosa ni uongozi mbovu tu waccm.

Tumechomwa sindano ya ganzi hata upigwe konzi husikii maumivu!
 
Hongera kwa maelezo yako mazuri lakini ngoja nikuweke sawa
  • kama unajua historia vizuri pemba sio zanzibar
  • unajua ikulu ya visiwa hivyo ilikuwa pemba
  • unajua salm hamed salim ambaye ni mpemba kwenye kura za maoni 2005 anashindana na kikwete alishindwa kwa kura nane na kati ya hizo nane saba ni wajumbe wa znz amabo wengi ni waunguja walimkataa
  • kimaendeleo pemba na unguja unajua hamna uwiano,sehemu kama wete hata polisi wanakimbia
  • Unguja mmewazidi pemba kimaendelea wakati hamna chochote tofauti na utalii ambao hata pemba upo sema haujakuzwa,bandari wanayo hamjataka kuiboresha kuweza kuhimili meli kuwa,kilimo cha karafuu wanacho unguja hamna,mazao mengi sana yanakubali pemba unguja hamna kitu labda vinazi vichache
Sina maana kwamba muungano ukivunjika mtagombana lakini nina maana chuki ya unguja na pemba ni kali kuliko ya znz na tanganyika,
  • Tanganyika haifaidiki na chochote znz tofauti na kiushuru kidogo cha utalii wanachogawana tra na zrb,kama ni mahakama ya kadhi zanzibar iko tangu zamani,smz hawajanyimwa kujiunga na oic,ila oic wanataka waingie tanzania nzima kutokana na uchache wa watu znz
KWA UJUMLA ZNZ WANAINYONYA TANGANYIKA NA HILO LIKO WAZI,NA SASA TUNATAKA SERIKALI YA TANGANYIKA TUMEWABEBA SANA,ndio maana jana kikwete anaapisha wajumbe wa katiba viongozi wenu wote wakuu walikuwa pale pamoja na huyo maalim Seif,sio shein,balozi idi,mwanasheria mkuu wa smz wote walikuwa pale,HAKUNA HATA MMOJA ALIYESEMA NAOMBA TUWAULIZE WANANCHI KAMA WANAUTAKA MUUNGANO,wote walikuwa kimya maana wanajua wanavoinyonya Tanganyika,Tundu Lissu bungeni alisema muungano huu wanapaswa kuulizwa wananchi lakini sijawahi kusikia hoja binafsi ya mbunge wa znz au baraza la wawakilishi znz akitaka ipigwe kura ya maoni kama wananchi wanautaka muungano,wanazidi kuwadanganya wananchi wao muungano unawanyonya ili wasifuatilie mambo ya msingi,
  • ZECO wanakata umeme waznz wanalalamika muungano kumbe nguzo zilizowekwa na zeco zimechoka pamoja na nyaya wanakata umeme kila siku lisaa zima kwa sababu zilizo ndani ya uwezo wao,Pale ZECO -shirika la umeme znz kuna mradi wa benki ya dunia wanawafadhili kwa hiyo ni suala la mipango tu na plans lakini hamna lolote watu sio wachapa kazi,serikali inaendelea kurubuni watu wake....................................

Mkuu, zanzibar is of unguja na pemba, wengine wanasema ata Mafia pia ni zanzibar.
Kwa sasa ni kweli unguja iko mbele kimaendeleo zaidi kuliko pemba, lakini hilo lilisababishwa na vibaraka wa Nyerere, salmin amour kutamka kuwa mpemba kuingia ikulu ni sawa na mbwa kuingia msikitini, chuki zilipaliliwa na CCM mapema, lakini mungu si athumani, wapemba wawili wameingia ikulu sasa, na laana ya mungu ilimuangukia salmini, mpaka sasa haoni yumo yumo tu, na Amani karume akamtia adabu! Lakini sasaivi, pemba kuna jengwa, kila sehemu saivi barabara ya lami iliyo safi kabisa, ili kupunguza gap iliyopo.

Vile vile sijaona ni jinsi gani SMZ inaionyonya JMT, wakati JMT ndo inainyonya SMZ! because JMT ndo inayotambuliwa kimataifa, kwaiyo everything ni JMT, ata JMT inaizuia SMZ kuendelea
 
kwa kweli tanganyika imewameza zanzibar, na kweli naona dalili kuwa na maendeleo zaidi kama watajitenga! hofu yangu ni jinsi gani watajilinda dhidi ya external invaders.
 
Zanzibar citizens need to note that kustawi kwa Dubai ambayo ilistawi baada ya miaka 1980s kulisaidiwa sana na kuanguka kwa Beirut ya Lebanon. Kabla ya 1985 Beirut ilikuwa ni financial and services capital ya eneo lote la Mashariki ya Kati kutoka Saudi Arabia mpaka Algeria. Katika miaka ya 1970s Beirut ilikuwa ikishindana na Teheran lakini kuingia kwa Utawala wa Khomeini Iran mwaka 1979 kukaimaliza Teheran kama services na financial centre. Beirut iliangamizwa kama the fincial and services capital ya Mashariki ya Kati na vita vya wenyewe ndani ya Lebanon vilivyopiganwa kati ya 1980 to almost 1995.

Pili baada ya 1980s nchi nyingi za Mashariki ya Kati zilibadili mfumo wao wa financial services na kuwa more conservative kwa kufuata siasa na sheria za kiislamu katika banking na other sectors. Therefore all the Western Companies walihamia kwenye nchi pekee katika eneo hili ambayo haikuwa ikifuata siasa za Uislamu Mkali katika uchumi na maisha ya kawaida - Dubai. Dubai pia ilikuwa na makampuni yake yakifanya biashara Mashariki ya Kati na Duniani kote kama vile Emirates Airline, Dubai World na Mabank kadhaa.

Sasa wenzetu Wazanzibari wakijitenga ni likely watakuwa chini ya itikadi kali za Kiislamu na watafunga au kuchoma mabar na sehemu nyingine za starehe. Kampuni za biashara walizo nazo ni kama ZANTEL ambayo inategemea bara kwa sehemu kubwa ya turnover yake na Peoples Bank of Zanzibar [PBZ] ambayo total annual turnover yake ni sawa na Dar Community Bank. Pia nchi za Afrika Mashariki haziko closed kama zile za Mashariki ya Kati - jambo lililoifanya Dubai kufanikiwa kama financial and trading centre. Indeed nchi za Afrika Mashariki ziko more open than Zanzibar including Tanzania Bara.

Wakijitenga sidhani kama Tanzania Bara itawapa free access Wazanzibar - watakuwa treated kama wa East African wengine - Wakenya; Waganda; Warwanda na Warundi - watahitaji passport kuingia Tanganyika au Tanzania Bara na work permit kufanya kazi au biashara huku. Swala la mafuta/gas lisiwazuzue - kuna mafuta mengi zaidi bara na katika nchi nyingine za Afrika ya Mashariki kuliko hayo yaliyoko Zanzibar. Indeed huko Zanzibar bado hakujagunduliwa mafuta au gas unlike in Bara; Kenya na Uganda ambako visima veyenye gas/oil vimeshachimbwa.

Wazanzibari wanahitaji kujua kuwa they cannot have their cake and at the same eat it. There are costs to their separating from the mainland and these will be even higher if the separation is acrimonious.
 
Mkuu, zanzibar is of unguja na pemba, wengine wanasema ata Mafia pia ni zanzibar.
Kwa sasa ni kweli unguja iko mbele kimaendeleo zaidi kuliko pemba, lakini hilo lilisababishwa na vibaraka wa Nyerere, salmin amour kutamka kuwa mpemba kuingia ikulu ni sawa na mbwa kuingia msikitini, chuki zilipaliliwa na CCM mapema, lakini mungu si athumani, wapemba wawili wameingia ikulu sasa, na laana ya mungu ilimuangukia salmini, mpaka sasa haoni yumo yumo tu, na Amani karume akamtia adabu! Lakini sasaivi, pemba kuna jengwa, kila sehemu saivi barabara ya lami iliyo safi kabisa, ili kupunguza gap iliyopo.
Vile vile sijaona ni jinsi gani SMZ inaionyonya JMT, wakati JMT ndo inainyonya SMZ! because JMT ndo inayotambuliwa kimataifa, kwaiyo everything ni JMT, ata JMT inaizuia SMZ kuendelea
UJUE TU KUWA TZ INAJULIKANA KAMA NI MUUNGANO WA NCHI MBILI HIVYO MISAADA HUTOLEWA KUTOKANA NA IDADI YA WATU GEOGRAPHIA NA VITU VINGINE VINGI,UJUE TU KUWA IKO MIRADI MINGI YA KIMAENDELEO ZNZ KUTOKA UN NA ZIKO NCHI NYINGI TU ZINAISAIDIA ZNZ PEKEE WALA SIO TANGANYIKA,
Sasa wenzetu wanadanganyana kuwa wakiwa peke yao misaada ya nje wanavyoona marekani imesaidia bil 40 kupambana na malaria tz sio kwamba tukitengana itakuwa hiyo itapungua na na znz pia watapewa kulingana na idadi na georaphia ndio maana kuna nchi kama burundi ,mauritius ni nchi ndogo lakini bado ni masikini sio kwamba hazipewi misaada zinapewa kulingana na vigezo kama hivyo,unavyooona msaada unakuja ZNZ inaenda asilimia 4 sio kwamba ni unyonyaji hivyo vigezo ndio vilivyotumika kama ingekuwa wanagawa tu sawa kwa nchi zote nchi kama burundi,mauritiiuas,malawi ambazo ni ndogo wangekuwa matajiri sana maana watu wako mil 2 uwape bilioni 40,hawa wako mil 40 uwape bil 40 haiendi hivyo,kuna miradi ya UN moja kwa moja kama malaria na ukimwi angalia kiasi UN yenyewe imetenga kwa znz na kwa tnganyika maana znz kuna wizara ya afya wanajitegemea ndio utajua,
 
Kama kuifanya zanzibar kuwa kama Dubai ni rahisi Wanzanzibari angalieni Yemen dhiki kila kona na wako karibu na Dubai na ni Waarabu pia. Fanyeni kazi aacheni ndoto za alinacha. Tanzania Bara (Tanganyika) haizui Zanzibar kufanya maendeleo mfano TV station Zinzibar ilikuwepo siku nyingi kabla ya bara ila kwa sababu zao za ajabu ajabu haisikiki wala haina maana yeyote kabisa. HII IKO CHINI WAZENJI. Visiwa vingine vina national cohesion amabayo Zanzibar ni ndoto. Kelele nyingi kuhusu Mungano ni Wahindi wachache wanaotafuta manufaa binafsi.
 
kwa kweli tanganyika imewameza zanzibar, na kweli naona dalili kuwa na maendeleo zaidi kama watajitenga! hofu yangu ni jinsi gani watajilinda dhidi ya external invaders.

Suala la kujilinda likishtue sana, tunaweza tukaomba ulinzi temporary kwa mataifa makubwa kama russia, china marekani pamoja na kuwapa mafunzo wanajeshi wapya! Btw, nielewavyo mie kuwa kama leo hivi sasa ivi muungano ukivunjika basi kilichokuwepo zenji ni cha zenji na cha bara cha bara! Kama sivyo basi itabidi vitu vyote tugawane hata kama kwa bara 70% na znz 30%
 
Zanzibar citizens need to note that kustawi kwa Dubai ambayo ilistawi baada ya miaka 1980s kulisaidiwa sana na kuanguka kwa Beirut ya Lebanon. Kabla ya 1985 Beirut ilikuwa ni financial and services capital ya eneo lote la Mashariki ya Kati kutoka Saudi Arabia mpaka Algeria. Katika miaka ya 1970s Beirut ilikuwa ikishindana na Teheran lakini kuingia kwa Utawala wa Khomeini Iran mwaka 1979 kukaimaliza Teheran kama services na financial centre. Beirut iliangamizwa kama the fincial and services capital ya Mashariki ya Kati na vita vya wenyewe ndani ya Lebanon vilivyopiganwa kati ya 1980 to almost 1995.

Pili baada ya 1980s nchi nyingi za Mashariki ya Kati zilibadili mfumo wao wa financial services na kuwa more conservative kwa kufuata siasa na sheria za kiislamu katika banking na other sectors. Therefore all the Western Companies walihamia kwenye nchi pekee katika eneo hili ambayo haikuwa ikifuata siasa za Uislamu Mkali katika uchumi na maisha ya kawaida - Dubai. Dubai pia ilikuwa na makampuni yake yakifanya biashara Mashariki ya Kati na Duniani kote kama vile Emirates Airline, Dubai World na Mabank kadhaa.

Sasa wenzetu Wazanzibari wakijitenga ni likely watakuwa chini ya itikadi kali za Kiislamu na watafunga au kuchoma mabar na sehemu nyingine za starehe. Kampuni za biashara walizo nazo ni kama ZANTEL ambayo inategemea bara kwa sehemu kubwa ya turnover yake na Peoples Bank of Zanzibar [PBZ] ambayo total annual turnover yake ni sawa na Dar Community Bank. Pia nchi za Afrika Mashariki haziko closed kama zile za Mashariki ya Kati - jambo lililoifanya Dubai kufanikiwa kama financial and trading centre. Indeed nchi za Afrika Mashariki ziko more open than Zanzibar including Tanzania Bara.

Wakijitenga sidhani kama Tanzania Bara itawapa free access Wazanzibar - watakuwa treated kama wa East African wengine - Wakenya; Waganda; Warwanda na Warundi - watahitaji passport kuingia Tanganyika au Tanzania Bara na work permit kufanya kazi au biashara huku. Swala la mafuta/gas lisiwazuzue - kuna mafuta mengi zaidi bara na katika nchi nyingine za Afrika ya Mashariki kuliko hayo yaliyoko Zanzibar. Indeed huko Zanzibar bado hakujagunduliwa mafuta au gas unlike in Bara; Kenya na Uganda ambako visima veyenye gas/oil vimeshachimbwa.

Wazanzibari wanahitaji kujua kuwa they cannot have their cake and at the same eat it. There are costs to their separating from the mainland and these will be even higher if the separation is acrimonious.

Mkuu, usishtushwe kwa kuambiwa zanzibar itakuwa kama dubai, hayo maneno ni metaphors. Unajua kuna watu wanachuki na waarabu humu forums sijui kwa sababu wao waswahili ni maskini ama vipi, ndo mana wanapenda kuleta mada na kuihusisha zanzibar na waarabu! Viongozi washawahi kutolea mifano zanzibar kuwa kama Hong kong, mbona watu hawakusema ivi? Ni chuki tu za watu! Kwaiyo mkuu kusema kuwa dubai imekuwa because of yhe fall of beirut na kuihusisha zanzibar ni vitu tofauti! Mana itabidi na sisi tusubiri fall of whom? Tunatizama what are the sources of development of DXB,HK,TAIWAN? then can we do that? Yes we believe we can!

Ningeshauri mada ibadilishwe iondolewe dubai iwekwe hong kong coz waarabu hamuwapendi!
 
UJUE TU KUWA TZ INAJULIKANA KAMA NI MUUNGANO WA NCHI MBILI HIVYO MISAADA HUTOLEWA KUTOKANA NA IDADI YA WATU GEOGRAPHIA NA VITU VINGINE VINGI,UJUE TU KUWA IKO MIRADI MINGI YA KIMAENDELEO ZNZ KUTOKA UN NA ZIKO NCHI NYINGI TU ZINAISAIDIA ZNZ PEKEE WALA SIO TANGANYIKA,
Sasa wenzetu wanadanganyana kuwa wakiwa peke yao misaada ya nje wanavyoona marekani imesaidia bil 40 kupambana na malaria tz sio kwamba tukitengana itakuwa hiyo itapungua na na znz pia watapewa kulingana na idadi na georaphia ndio maana kuna nchi kama burundi ,mauritius ni nchi ndogo lakini bado ni masikini sio kwamba hazipewi misaada zinapewa kulingana na vigezo kama hivyo,unavyooona msaada unakuja ZNZ inaenda asilimia 4 sio kwamba ni unyonyaji hivyo vigezo ndio vilivyotumika kama ingekuwa wanagawa tu sawa kwa nchi zote nchi kama burundi,mauritiiuas,malawi ambazo ni ndogo wangekuwa matajiri sana maana watu wako mil 2 uwape bilioni 40,hawa wako mil 40 uwape bil 40 haiendi hivyo,kuna miradi ya UN moja kwa moja kama malaria na ukimwi angalia kiasi UN yenyewe imetenga kwa znz na kwa tnganyika maana znz kuna wizara ya afya wanajitegemea ndio utajua,

Suala la mapato mi wala siitetei zanzibar katika kugawana hayo mapato. Kama ulivosema, bil 40 haziwezi kupigwa pasu la 50% each, lazima bara mapato hayo yawe mengi kuliko znz kutokana na idadi ya watu! Lakini mkuu, mi huwa nashangaa sana, JMT imesema kuwa mafuta na gesi asilia kuwa ni vitu vya muungano, hivo basi mapato yake yaende both sides,,, sijasikia ata shilingi 5 ya songosongo imeenda zanzibar!! Huku ndo kuibiwa kwenyewe eti! Kila kinachofanywa znz ni kutokana na pesa zao wenyewe, landa mkuu ungenambia bajeti ya JMT zanzibar inakuwemo? Mana naona road, hospitals na other social services ni Smz tu!
Tukirudi miaka ya nyuma kidogo, zanzibar airport zilikua zinatua ndege kubwa kama Gulf Air, oman air pia, lakini mamlaka ya uwanja wa ndege wakawapa mkwala kampuni za ndege na kuziambia kuwa airport ya zanzibar sio inyernational, sijui wametumia kigezo gani, lakini ata hivo, hata nyerere airport sifikiri kama ina hadhi na kila kitu cha kuitwa international! Cjui kama vifaa vyote vipo! Lakini haya, basi hiyo mamlaka kwanini basi isijenge uwanja wa zanzibar na ukawa international, au mamlaka imewekwa for tanganyika tu? Hivi zanzibar ilikuwa inapata mapato ya shirika la ndege la tanzania?
 
jombaa umetisha kweli umemwaga data za ukweli m2tupu lakini wazanzibar ni kama watoto wadogo wanaodai uhuru kwa baba(tanganyika) ny way muungano ukivunjika zanzibar mtegemee watu watauana na kusaga meno mana wengi wao wenye uwezo kama unavojua wanaishi bara
 
alielipua ubalozi wa marekani yule ghailani si mzanzibar? mnakuwa agents wa al qaeda na al shabab
 
Na pia msisahau kumrudisha Bakhresa anaewapa ajira na wafanya biashara wengine haswa wa k.koo!

Arudi tu na lambalamba zake. Unga anauza DRC na Burundi hivyo atakuwa anatumia barabara zetu kupeleka unga wake huko nasi tutapata pesa za kigeni.
 
Back
Top Bottom