Na pia msisahau kumrudisha Bakhresa anaewapa ajira na wafanya biashara wengine haswa wa k.koo!
tutakuwa na vitu vingi tu-vyote ambavyo ni haki yetu-swala la vitu vya muungano hakuna-zaid ni hawa viongozi wao kusepa na kurud kwao na kuacha nyumba zao na fixed assets zao nyingine hukuKutokana na utata wa muungano tulio nao ninashindwa kuelewa siku muungano utakapo vunjika tanzania bara tutabakia na kitu gani kila mtu atakapo amuwa kuchukuwa kitu chake bara watachukuwa kitu gani?Wazanzibar watabakia na nchi yao ambayo ni zanzibar ambayo wao hawa kuiua wakati wa kuziunganisha sisi wakaiua tanganyika yetu.wazanzibar watabakia na rais wao na serekali yao na vikosi vyao vya smz ambavyo kimsingi ni sawa na vyombo vya dola.bara wakati huo itakuwa haina rais wala vyombo vya dola kwani rais na vyombo vya dola vilivyopo ni vya muungano ambavyo vitatakiwa vitafute mahali pakwenda kwa vile havitakuwa na mwenyewe wakati wa kinyang'anyilo hicho.
Nani kakuambia-wacha muungano ufe-hauna faida yoyote-faida zote ni fantasy tu zilizojengewa vichwan mwa watu kwa propagandaTutabaki patupu na ndio maana hatutaki uvunjike.
mbona sudan wanashare majina-ila me naamin tz itakufa na kutarud tanganyika na zanzibar itajirudiaMe nawaza kwamba hivi tukiuvunja, jina letu tutaitwaje?? Maana neno Tanzania inatokana na nchi mbili..! Si mchezo, UN itapata wanachama wapya wawili..!
Kutokana na utata wa muungano tulio nao ninashindwa kuelewa siku muungano utakapo vunjika tanzania bara tutabakia na kitu gani kila mtu atakapo amuwa kuchukuwa kitu chake bara watachukuwa kitu gani?Wazanzibar watabakia na nchi yao ambayo ni zanzibar ambayo wao hawa kuiua wakati wa kuziunganisha sisi wakaiua tanganyika yetu.wazanzibar watabakia na rais wao na serekali yao na vikosi vyao vya smz ambavyo kimsingi ni sawa na vyombo vya dola.bara wakati huo itakuwa haina rais wala vyombo vya dola kwani rais na vyombo vya dola vilivyopo ni vya muungano ambavyo vitatakiwa vitafute mahali pakwenda kwa vile havitakuwa na mwenyewe wakati wa kinyang'anyilo hicho.
Huu Muungano ni siri ya waasisi tu hata hawa viongozi wetu now wanashindwa kutupa true, but hata ukifa kwa sisi wabara hakuna cha kupoteza japo ULINZI wa nchi yetu itakuwa UTATA sana kwani nasikia zenj itakuwa kama dubai vile kwa biasharaKutokana na utata wa muungano tulio nao ninashindwa kuelewa siku muungano utakapo vunjika tanzania bara tutabakia na kitu gani kila mtu atakapo amuwa kuchukuwa kitu chake bara watachukuwa kitu gani?Wazanzibar watabakia na nchi yao ambayo ni zanzibar ambayo wao hawa kuiua wakati wa kuziunganisha sisi wakaiua tanganyika yetu.wazanzibar watabakia na rais wao na serekali yao na vikosi vyao vya smz ambavyo kimsingi ni sawa na vyombo vya dola.bara wakati huo itakuwa haina rais wala vyombo vya dola kwani rais na vyombo vya dola vilivyopo ni vya muungano ambavyo vitatakiwa vitafute mahali pakwenda kwa vile havitakuwa na mwenyewe wakati wa kinyang'anyilo hicho.