Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,839
- 7,924
Rejea kichwa cha habari hapo juu mara kibao tumewasikia wadau mbalimbal kutoka kada tofauti wakilalamika kuhusu utendaj kazi wa tume ya uchaguzi wengine wamefika mbali zaidi kwa kukosoa upatikanaji wa watendaji waandamizi wa tume ya uchaguzi.
Lakini wote hao sijawahi ona sehemu yoyote wakitoa mtazamo mbadala kuwa kipi kifanyike ili kupata namna ya kuweza kupata watendaji kuanzia waandamizi makao makuu ya tume mpaka wanaosimamia chaguzi za serikal za mitaa.
Kupitia bandiko hili napendekeza wanajamvi tujadiliane kistaarabu kama mara zote tunavyoamin katika demokrasia na uhuru wa kujieleza ukizingatia humu jamvini tuna wasomi wa kada tofauti naamin tutaongezeana maarifa.
Lakini wote hao sijawahi ona sehemu yoyote wakitoa mtazamo mbadala kuwa kipi kifanyike ili kupata namna ya kuweza kupata watendaji kuanzia waandamizi makao makuu ya tume mpaka wanaosimamia chaguzi za serikal za mitaa.
Kupitia bandiko hili napendekeza wanajamvi tujadiliane kistaarabu kama mara zote tunavyoamin katika demokrasia na uhuru wa kujieleza ukizingatia humu jamvini tuna wasomi wa kada tofauti naamin tutaongezeana maarifa.