Muumini auawa na mchungaji

Muumini auawa na mchungaji

Status
Not open for further replies.
Mfyuuuu ye mwenye imani kubwa anaejiita mchungaj ndo angelala chin alaf wamuekee ilo spika tuone....rubbish!!!!!
 
Ndo tatizo la kuamini miujiza kuliko kuamini maandiko, hakuna tofauti ya uchawi na miujiza, waamimi man made religions mna kazi kwakweli! Karibuni kwenye dini ya haki-islam
 
Huyu mchungaji si ndio yule huwa anawalalia na kuwakanyaga huku akiruka ruka juu ya miili ya waumini?Na wakati mwingine huwa anawalisha waumini wake nyoka,nywele,majani nk.
 
Swali la kishenzi!...dogo ulitoroka shuleni lini?
Ni kawaida kwa JF kila mtu kujiona ana ELIMU kubwa kushinda WENGINE,ingawa UKWELI haiko hivyo..!
Maana yangu ilikuwa nachokiona kwenye PICHA na MAANDISHI kuhusu JINSIA ya MAREHEMU ni vitu viwili TOFAUTI..!
Lakini bila KUJALI hilo mwisho nikamwombea MAREHEMU apumzike kwa AMANI..!
Sasa nashindwa kuelewa ni KIPI kimekufanya uwe na HISIA kwamba MIMI nimetoroka SHULE..!

JIBU LA SWALI LAKO:
Bado niko SHULE,Mazingira yote nayoishi na kukutana nayo ni SHULE kwangu...
Kwahiyo SIWEZI kutoroka SHULE hata nikiamua hivyo..!

 
Hapa mwenye kutakiwa kuwa na imani ya kutosha ni nani? Hebu ndugu zanguni wenye uelewa wa kutosha njooni mtupe Darasa. Nitafurahi sana kama hii mada itachangiwa sana na watu wenye kuujua ulimwengu wa roho.

Wengi wa Elimu ya kawaida watampiga vita huyu mchungaji, Lakini ningependa kusikia wenzetu wanaoujua ulimwengu wa roho wanasemaje?
Hapo nachokiona ni huyu Mchungaji kumjaribu Mungu. Fikiria mtu aseme nafyatua hii Risasi ya AK47 lakini kwa imani haitaniua! Ujinga huo, Mungu hajaribiwi. Kumbuka Shetani alipomjaribu yesu juu kabisa ya mlima na kumwonyesha miliki ya ulimwengu na kisha akamwambia ajirushe maana Mungu atatuma malaika wamwokoe asiumie, lakini yesu alimjibu usimjaribu Bwana Mungu wako. hawa wahubiri uchwara wa miaka hii njaa tu inawasumbua. Watu pia waangamia kwa kukosa maarifa. Huyu mama alikosa maarifa.
 
Hapo nachokiona ni huyu Mchungaji kumjaribu Mungu. Fikiria mtu aseme nafyatua hii Risasi ya AK47 lakini kwa imani haitaniua! Ujinga huo, Mungu hajaribiwi. Kumbuka Shetani alipomjaribu yesu juu kabisa ya mlima na kumwonyesha miliki ya ulimwengu na kisha akamwambia ajirushe maana Mungu atatuma malaika wamwokoe asiumie, lakini yesu alimjibu usimjaribu Bwana Mungu wako. hawa wahubiri uchwara wa miaka hii njaa tu inawasumbua. Watu pia waangamia kwa kukosa maarifa. Huyu mama alikosa maarifa.

MAPUMA MIYOGA Naungana na wewe kwamba huyu bwana alikua anamjaribu Mungu "PHYSICALLY" which is not right, Nimeupenda sana mfano wako wa AK 47. Kuna nyanja ambazo tunaruhusiwa Kumjaribu Mungu but not physically, kuna andiko linasema nijaribuni katika sadaka.
 
Inatakiwa nae Mchungaji alale chini awekewe hio spika,aongezee na vibonge wanne juu ili athibitishe madai yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom