Muswada wa CYBER CRIMES: Kumbe Serikali ili-plagiarize (Copy & Paste)!!!

Muswada wa CYBER CRIMES: Kumbe Serikali ili-plagiarize (Copy & Paste)!!!

Mkuu umesema kweli tupu, bahati mbaya sana wanasheria wetu hawana uwezo wa kuishitaki serikali iliyoko madarakani!!! Ukweli ni kuwa budget zote za serikali ni feki, projection zote za serikali kwenye uchumi ni uongo mtupu... Data za Mfumuko wa bei i.e inflation ni takwimu za uongo kwa maslahi ya IMF na WB .... Itikadi ya CCM ni uongo mtupu !!! Ilani ya CCM haikupaswa kuchapishwa mitandaoni kwani ni uongo na wanastahili kifungo!!! ZZK kujiita mjamaa wakati anajulikana ni kuwadi number one alistahili kufungwa ...

Budget nyingi kwenye Wizara huweka cha juu Chao pesa nyingi huwa zinabaki ( Kasma) na kuliwa na wanjanja, Ndiyo maana kipindi cha budget Waziri na wasaidizi wao huwanyenyekea wabunge ili wapitishe ulaji wao, Tunamtaka Rais ambaye ataweza kukomesha Hizi pancha za Ulaji.
 
kukopi ndio kazi yao. mfano hoja binafsi ya mnyika kuhusu baraza la vijana serikali ikakurupuka na kupora hoja na kuigeuza ni yalwao
 
Kucopiwa kwa sheria neno kwa neno, sio plagiarism, hii kisheria inaitwa 'para materiale', sheria zetu zote za Tanzania enzi za ukoloni nimecopiwa para materiale kutoka sheria za India, ambazo ni para materiale kwa nchi zote barani Afrika zilizotawaliwa na mkoloni Muingereza.

Pasco
Kuna haja gani ya kuwa na bunge kama utungaji wa sheria is that simple?
 
nakumbusha tuliko toka
 
naendelea kupita tuu
 
Yes, ndiyo maana kila siku wanashangaa wanapopigiwa kelele, kwa vile wanajua hata American Bar association kumbe wanacho kipengele kama hicho na wao hawalalamiki.....
 
Kucopiwa kwa sheria neno kwa neno, sio plagiarism, hii kisheria inaitwa 'para materiale', sheria zetu zote za Tanzania enzi za ukoloni nimecopiwa para materiale kutoka sheria za India, ambazo ni para materiale kwa nchi zote barani Afrika zilizotawaliwa na mkoloni Muingereza.

Pasco

Pasco, hapana, hii ni kazi ya watu fulani. It has been pragiarised. Ungelikuwa mahakamani ungelisema natafsiri kifungu fulani kufuata hukumu ya India ambayo kifungu cha kwetu ni pari materiale na kifungu hicho katika shetia ya India
 
Pasco, hapana, hii ni kazi ya watu fulani. It has been pragiarised. Ungelikuwa mahakamani ungelisema natafsiri kifungu fulani kufuata hukumu ya India ambayo kifungu cha kwetu ni pari materiale na kifungu hicho katika shetia ya India
Nchi zote zilizotawaliwa na Waingereza zilipipata uhuru zilirithishwa sheria za Uingereza neno kwa neno, para materiale kuanzia Africa Kusini 1910, India 1947, Ghana 1957, Nigeria 1960, Tanganyika 1961, Uganda 1962, Kenya,Zambia na,Malawi 1964, Zote zilitumia sheria zile zile za Uingereza na nyingi ya sheria hizo ziko mpaka leo! . Kwenye sheria sio plagiarism ni para materiale! .
Pasco
 
Nchi zote zilizotawaliwa na Waingereza zilipipata uhuru zilirithishwa sheria za Uingereza neno kwa neno, para materiale kuanzia Africa Kusini 1910, India 1947, Ghana 1957, Nigeria 1960, Tanganyika 1961, Uganda 1962, Kenya,Zambia na,Malawi 1964, Zote zilitumia sheria zile zile za Uingereza na nyingi ya sheria hizo ziko mpaka leo! . Kwenye sheria sio plagiarism ni para materiale! .
Pasco

Nakubali kabisa ulivyosema . Labda kuna mahali hatujaelewana. Suppose umepewa contract ya kuisaidia South Sudan , the newest nation, uwadraftie cyber crime law. Ukaichukua ya tanzania hivyo hivyo ilivyo except penye Tanzania ukaweka South Sudan ukawapelekea, can you call that pari materiale au plagiarism
 
Nakubali kabisa ulivyosema . Labda kuna mahali hatujaelewana. Suppose umepewa contract ya kuisaidia South Sudan , the newest nation, uwadraftie cyber crime law. Ukaichukua ya tanzania hivyo hivyo ilivyo except penye Tanzania ukaweka South Sudan ukawapelekea, can you call that pari materiale au plagiarism
Hiyo ndio pari materiale yenyewe, ila mwanzo kwenye kila sheria, pia unasema wazi source. Chukua Criminal Procedures yetu ya leo, chukua ya India, chukua ya South Africa, chukua ya Kenya, Uganda, Zambia, Zimbawe na nchi zote zilizotawaliwa na Uingereza, ni neno kwa neno!, ila kwenye introduction, inasemwa imecopiwa wapi!.

P.
 
nchi nyingi au mashirika hawanaga watu wao waliowaajiri ambao wanaweza ku design vitu unique wengi huwatumia ma consultant pamoja na kuwa wana watu walioajiriwa kwa kigezo kuwa wanaweza kumudu kazi hizo sasa hao hao ndio huwa wanaangalia sheria ziko wapi na zilifanyaje kazi na wanazi copy na ku paste mkijua kuwa wamebuni hakuna.
 
internet hiyo hiyo wameitegemea kwa kucopy na kupaste sasa hapa kuna bila kufanya uchunguzi wa kina swala si kubana social kama tupo dunia ya kipee kinachotakiwa ni raia kuelimishwa faida na matumizi sahihi ya internet tusibaki tena nyuma kwa mara ya pili kwa kuiga mambo ambayo hatuna alternative wanaofanya ivi wao wanazo altenetive hadi simu zao kwa ajili ya jamii zao kama wa china wanavyo vyakwao sisi je?
Yaani unataka semina ya kujua matusi na uongo ni nini?
Haki ya Mungu bora mimi sio Rais...Kuna watu mngekula mboko hadharani.
 
Back
Top Bottom