Vicent Temu
Member
- Aug 13, 2013
- 34
- 5
muswada wa rasimu ya katiba uliopitishwa kibabe hivi karibuni mjini dodoma na kutakiwa kusainiwa na raisi mheshimiwa hatausaini na badala yake unarudishwa bungeni tarehe 29 october ukajadiwe upiya.
Kama hii hoja ni ya ukweli, basi JK anastahili pongezi. Na katika hili alikua na haki ya kusaini ule mkataba wa uwazi waliosaini huko NY.
Katiba ni ya Watanzania, sio ya Chama chochote! Inatakiwa busara ya hali ya juu hasa tunapoamua mambo yenye kuhusu Watanzania.
Heko JK, kwa hili unastaili pongezi kwa kuweka maslahi ya Watanzania mbele. Na umekuwa wise kuliko waliokua wanashadadia usaini kwa maslahi yao.
Akina Mathias Chikawe na wenzake waliokua wanashinikiza usaini watambue kwamba katiba ni yetu watanzania na wala sio ya kikundi chao cha ngoma na maigizo.
Wapinzani nanyi msijisifu kuwa mmeshinda na kudharau wenzenu! Kumbukeni tunaijenga Tanzania itakayokuwa salama kwa sisi tuliopo leo na watakaokuja baadae. Katika hili maelewano ni ya muhimu sana coz we can differ in our interests but still we are friends.