Muswada kurudishwa bungeni

Muswada kurudishwa bungeni

Wapinzani inabidi wasikilizwe, suala la katiba sio la kuamuliwa na chama kimoja.

Katiba ni kwa ajili ya watanzania wote

Leo umeleta thread kidogo inaeleweka now umechangia point safi kabisa!!KUMBE NANYI HUWA MNAONA NA KUELEWA?
 
Kuna mtu amehack akaunti ya Chris au ni yeye mwenyewe kaandika?
 
Huyu ni chumba cha siri. Ww unataka source.Kama sio kweli basi credibility ya mleta hoja itakuwa mashakani hapa JF. Hii ya katiba kitu ya kufanyia mzaha hata kidogo.

Very unlikely! Under which procedure? Kifungu gani? Porojo tu ndio maana unaulizwa source!
 
Kwan hao CCM 280 walioupitisha wanatokea jimbo 1?kuwa mpinzan sio kupinga kila kinachokuja mbele yako,waTz tupo tayar kupiga kura pindi katiba itakapokuwa tayari,,,,,,,JK karbu nchin umwage wino achana na hawa walala hoi walioko JF kaz kufuka tu wakat wakijijua wapo butu.
Cc...kwa wote wenye kukashfu hatua za serkli tukufu ya CCM
 
Kwan hao CCM 280 walioupitisha wanatokea jimbo 1?kuwa mpinzan sio kupinga kila kinachokuja mbele yako,waTz tupo tayar kupiga kura pindi katiba itakapokuwa tayari,,,,,,,JK karbu nchin umwage wino achana na hawa walala hoi walioko JF kaz kufuka tu wakat wakijijua wapo butu.
Cc...kwa wote wenye kukashfu hatua za serkli tukufu ya CCM

Ww wamekwisha kuharibu kabisaaaaa..utundu wako huko nyuma haukuwa mpana ivii..kazi ya mkugulu mchembi kuharibu watoto wa watu..
 
wapinzani inabidi wasikilizwe, suala la katiba sio la kuamuliwa na chama kimoja.

Katiba ni kwa ajili ya watanzania wote

jamani kumbe madaktari wanatibu¨! Lukosi amepoana ameanza kuwaza vizuri kabla ya kuandika au kutoa comments zozote! Hongera sana wanataaluma ya matibabu.
 
kikao ambacho kimekalijana kilikuwa kikao cha siri ambacho kilishirikisha baadhi wa wabunge wa ccm kutoka unguja na baadhi ya walio shindwa kwenye uchaguzi wa 2010 kutoka pemba. Na ndio wameishauri kamati maalumu ya kumshauri rais juu ya hili.
Hakukuwa na kikao mkuu tusipotezeane mda tafadhari mleta topic jana alitudanganya sana tu.
 
Wapinzani inabidi wasikilizwe, suala la katiba sio la kuamuliwa na chama kimoja.

Katiba ni kwa ajili ya watanzania wote
Aha!
Tena..
Au nimesoma vibaya!we si ndo umesema mkutano wa jumamosi ulikuwa wa kichochozi?
 
Wapinzani inabidi wasikilizwe, suala la katiba sio la kuamuliwa na chama kimoja.

Katiba ni kwa ajili ya watanzania wote

Ama kweli, haya ni maajabu sana.

Tangu lini Chris Lukozi, neno jema likatoka upinzani? Umenipa raha leo Lukosi. Ukakubaliana na Mbowe na Lipumba. Kweli, liwalo na liwe, Tumechoka sisi.
 
Nimejiskia aman na furaha sna kuskia habarí njema kama hii thread.. Jk atajijengea heshima kama atawapatia watanzania katiba waitakayo watanzania na syo watawala..watawala wana ajenda zao za siri na wanangalia their short term benefit or intrest.. Katiba na ya watanzania wote na tunataka katiba itakayoendana na wakati na kwa faida ya vizazi vijavyo..
 
muswada wa rasimu ya katiba uliopitishwa kibabe hivi karibuni mjini dodoma na kutakiwa kusainiwa na raisi mheshimiwa hatausaini na badala yake unarudishwa bungeni tarehe 29 october ukajadiwe upiya.

Kama ni kweli itakuwa vizuri.

They should learn to respect the so called ordinary people of this country

Mwisho wa ubaya aibu!

kikao ambacho kimekalijana kilikuwa kikao cha siri ambacho kilishirikisha baadhi wa wabunge wa ccm kutoka unguja na baadhi ya walio shindwa kwenye uchaguzi wa 2010 kutoka pemba. Na ndio wameishauri kamati maalumu ya kumshauri rais juu ya hili.

wabunge warudishe posho walizolipwa kwa upuuzi huu wa kupitisha kibabe huo mswada hata hivyo habari haina source hivyo liwalo na liwe.

Wasira unayaona hayo? Usichezee nguvu ya umma! Aibu kwa wabunge wa CCM.

naamini Kikwete atakua msikivu juu ya hili,kwani katiba ni yetu wote ni muhimu watu wote tukubaliane na utaratibu utakaotumika kupata katiba hiyo

Inawezekana huu ndio mtindo mpya wa kutunga sheria sasa unaofanywa na Bunge; huu utakuwa mswada wa ngapi wa sheria kulazimishwa kurudishwa Bungeni kabla hata haujaanza kutumika?

Endeleeni kujipa matumaini nyie wagonjwa ili Daktari akija awape dawa ya kusogeza siku.
Hivi hata akili hamna mnaanza kujadili na kujipa ushindi kwa habari za udaku?
Rais hayupo..
Waziri Mkuu yuko Kanda ya Kaskazini kwa ziara.....
Wassira yuko jimboni kwake kwa ziara ....
Katibu wa Chama dume yuko ziara akiwa na Nape Mkoa wa Mara....
Makamu wa Rais yuko Ofisini kwa shughuli za Kiserikali......
Chikawe na AG wana majukumu ya Kitaifa wako busy na mambo mengine kabisa..
Hayo mumeyatoa wapi?
Kweli nyie ni Mbulalists.
 
Back
Top Bottom