Muswada kurudishwa bungeni

Muswada kurudishwa bungeni

muswada wa rasimu ya katiba uliopitishwa kibabe hivi karibuni mjini dodoma na kutakiwa kusainiwa na raisi mheshimiwa hatausaini na badala yake unarudishwa bungeni tarehe 29 october ukajadiwe upiya.
Ingekuwa ni vizuri tukapata source ya hii habari.
 
Wapinzani inabidi wasikilizwe, suala la katiba sio la kuamuliwa na chama kimoja.

Katiba ni kwa ajili ya watanzania wote

hizi ndizo akili ambazo anatakiwa awenazo diaspora na siyo kuropoka kama kibogoyo for the first time you show your brave
 
Wapinzani inabidi wasikilizwe, suala la katiba sio la kuamuliwa na chama kimoja.

Katiba ni kwa ajili ya watanzania wote
Chris leo hatimaye umeanza kupata akiri! Najua suala la Tanganyika linakudrive crazy! hahahaha! Lakini inabidi katiba iangaliwe kwa upana wake!

Si unakumbuka suala lililopelekea raisi wa Zanzibar kutolewa kuwa makamu wa raisi? Simply MaCCm wenzia walipredict kuwa Seif anaweza kuchukua nchi, Zanzibar! Ni upuuzi mtupu, kuandika kitu kama wehu badala ya kuangalia manufaa ya Taifa kwa leo na siku zijazo!
 
Wapinzani inabidi wasikilizwe, suala la katiba sio la kuamuliwa na chama kimoja.

Katiba ni kwa ajili ya watanzania wote

naona M4C...inaanza kufanya kazi..swala la katiba linitaji utaifa kwanzwa, michama baadae
 
Back
Top Bottom