Musukuma ataka Wabunge wapite maeneo ya VIP na wenza wao

Musukuma ataka Wabunge wapite maeneo ya VIP na wenza wao

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma, ameibua hoja bungeni akilalamikia mazingira yasiyo rafiki kwa viongozi na familia zao wanapopita katika maeneo mbalimbali ya VIP. Akizungumza bungeni, Musukuma amesema:

"Sisi humu ndani sio Wahuni ni Waheshimiwa tuna familia....Mhe. Spika sisi tumepewa heshima ya kupita VIP, lakini nataka kujiuliza ukienda pale VIP mkishuka kwenye gari kama huna hela inabidi mgawanyike, Mwanamke apite huku Mwanaume apite huku, ile heshima ya VIP hasa kwenye hizi sehemu tunazopita ni mbaya sana kumtenganisha mtu na mwenzi wake."

 
"Sisi humu ndani sio Wahuni ni Waheshimiwa tuna familia....Mhe. Spika sisi tumepewa heshima ya kupita VIP, lakini nataka kujiuliza ukienda pale VIP mkishuka kwenye gari kama huna hela inabidi mgawanyike, Mwanamke apite huku Mwanaume apite huku, ile heshima ya VIP hasa kwenye hizi sehemu tunazopita ni mbaya sana kumtenganisha mtu na mwenzi wake." Mbunge wa Geita Vijijini - Joseph Musukuma

Haina shida hata mimi binafsi huwa napita VIP at my own cost

Kupita VIP sio.big deal ni pesa yako tu unalipia kabla kutua au kuruka na ndege unapitia hapo

Wazo zuri litaongeza mapato viwanja vya ndege

Ila wajilipie wenyewe sio kuongeza mzigo kwa walipa kodi

VIP kounge ni biashara sio kuwa watu hupita pale bure lazima malipo yafanyike kwanza
 
Haina shida hata mimi binafsi huwa napita VIP at my own cost

Kupita VIP sio.big deal ni pesa yako tu unalipia kabla kutua na ndege unapitia hapo

Wazo zuri litaongeza mapato viwanja vya ndege

Ila wajilipie wenyewe sio kuongeza mzigo kwa walipa kodi

VIP kounge ni biashara sio kuwa watu hupita pale bure lazima malipo yafanyike kwanza
Ndiyo wanataka wawe wanalipia, wapumbavu wakubwa hao
 
"Sisi humu ndani sio Wahuni ni Waheshimiwa tuna familia....Mhe. Spika sisi tumepewa heshima ya kupita VIP, lakini nataka kujiuliza ukienda pale VIP mkishuka kwenye gari kama huna hela inabidi mgawanyike, Mwanamke apite huku Mwanaume apite huku, ile heshima ya VIP hasa kwenye hizi sehemu tunazopita ni mbaya sana kumtenganisha mtu na mwenzi wake." Mbunge wa Geita Vijijini - Joseph Musukuma

Sikufungua hiyo video kumsikiliza, lakini kama ni kweli, wabunge wenzake watakuwa waligonga meza. Mambo ya hovyo kabisa.
 
Nataka nimtag Mh. Dorothy Gwajima ili afikishe Salamu zetu bungeni kwamba tumekasirika mno kuona CCM inatafuta mbinu za kupitisha madawa ya kulevya kwa urahisi. Ila sasa bahati mbaya sijui namna ya kutag!
 
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma, ameibua hoja bungeni akilalamikia mazingira yasiyo rafiki kwa viongozi na familia zao wanapopita maeneo ya VIP katika viwanja vya ndege. Akizungumza bungeni, Musukuma amesema:

"Sisi humu ndani sio Wahuni ni Waheshimiwa tuna familia....Mhe. Spika sisi tumepewa heshima ya kupita VIP, lakini nataka kujiuliza ukienda pale VIP mkishuka kwenye gari kama huna hela inabidi mgawanyike, Mwanamke apite huku Mwanaume apite huku, ile heshima ya VIP hasa kwenye hizi sehemu tunazopita ni mbaya sana kumtenganisha mtu na mwenzi wake."

Huyu ndye aliyekuwa anadai ni Mbunge maskini.....kashasahau
 
Nataka nimtag Mh. Dorothy Gwajima ili afikishe Salamu zetu bungeni kwamba tumekasirika mno kuona CCM inatafuta mbinu za kupitisha madawa ya kulevya kwa urahisi.
Hahahha......sijui kwanini niliwaza kama wewe tokea mwanzo.
 
Back
Top Bottom