Musukuma ashangaa kuwaona mitaani wanaoeneza taharuki sakata la bandari, ataka hatua zichukuliwe

Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.

Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini

Huyu Msukuma mjinga sana.
Watu wachukuliwe hatua kwa kutoa maoni?

Katoka pori lilelile la Burundi kama mwendazake?
 
Hana utashi,maadili (Moral authority ya kusema anayosema)..

Mfanyabiashara uchwara..Tuna taarifa zake huku..Tunafuatilia Kwa karibu kebehi zake,ngebe zake,jeuri yake..

Idara husika Zipo kazini kufuatilia Kwa makini..wapi jeuri yake imeshika hatamu ni suala la muda tu
 
Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.

Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini

Yaani anataka watekwe au wauawe siyo ?
 
Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.

Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini

Shule bwana... Linataka kuturudisha
Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.

Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini

Shule bwana, bado linafikiri tuko awamu ya 5.
 
Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.

Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini

Du siamini Mbunge huyu anachokiandika kwa kweli, ila kwa upeo wake na elimu yake nakaa kimya kwani inaonyesha hajaelewa kinachozungumziwa kwenye mjadala huu na woga wa Watanzania unakotoka na nini kwani kwa elimu yake huo mkataba kuuelewa ni shida na mtu kama huyu nirahisi kulishwa matango pori. Kwa hiyo vyombo vya ulinzi vipige watu wanatumia haki iliyotolewa kikatiba looh, kumbuka Watanzania sio ngombe kama mlizozoea kufuga.
 
Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.

Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini

Wanaoeneza habari hizo ni wapumbavu ukiangalia zaidi ni wale sukuma genge
 
R I P magufuli... sijui kama wewe ndio uliasisi huu mkataba ila naamini ungekuwepo yasingetokea haya
Mnakuwa wapumbavu Sana,angelikuwepo mbona zamani tu angelishakubali maana nae anataka maendeleo na huu mkataba tangu yupo alikuwa akifuatilia na kuutaka lakini bado muda ulikuwa haujafika
 
Akili zimefika mwisho, anataka kutumia nguvu eeh?!
Huyu ni wa kuhurumiwa tu
FB_IMG_1684176316586.jpg
 
Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.

Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini

Msukuma ni nani by the way, I don't know her.
 
Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.

Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini

Wewe siyo hata wa kusikilizwa
 
Back
Top Bottom