mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,635
- 8,302
Okay !!Tayari!
Okay !!Tayari!
Huyu Msukuma mjinga sana.Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Yaani anataka watekwe au wauawe siyo ?Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Shule bwana... Linataka kuturudishaMbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Shule bwana, bado linafikiri tuko awamu ya 5.Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Tulia dada anguWe mjinga unamwita Hayati Rais Magufuli muovu ila kwako mtu mwema ni Mbowe Tu sivyo?
Du siamini Mbunge huyu anachokiandika kwa kweli, ila kwa upeo wake na elimu yake nakaa kimya kwani inaonyesha hajaelewa kinachozungumziwa kwenye mjadala huu na woga wa Watanzania unakotoka na nini kwani kwa elimu yake huo mkataba kuuelewa ni shida na mtu kama huyu nirahisi kulishwa matango pori. Kwa hiyo vyombo vya ulinzi vipige watu wanatumia haki iliyotolewa kikatiba looh, kumbuka Watanzania sio ngombe kama mlizozoea kufuga.Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Wanaoeneza habari hizo ni wapumbavu ukiangalia zaidi ni wale sukuma gengeMbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Mnakuwa wapumbavu Sana,angelikuwepo mbona zamani tu angelishakubali maana nae anataka maendeleo na huu mkataba tangu yupo alikuwa akifuatilia na kuutaka lakini bado muda ulikuwa haujafikaR I P magufuli... sijui kama wewe ndio uliasisi huu mkataba ila naamini ungekuwepo yasingetokea haya
Huyu ni wa kuhurumiwa tuAkili zimefika mwisho, anataka kutumia nguvu eeh?!
Halafu Wana CCM walivyokuwa wa ajabu hawajafikiria siku watu wa hiyo idara wakiwabadilikia tayari wamewapa KingaNa huu mswada wa sheria ya idara ya Usalama wa taifa uliopita juzi,jipangeni.
ccm watakupiga mawe wanakuambia sisi hatuwezi, bora tuuze tupate pesa chap kwa haraka tujikalie kwenye viyoyozi.Tununue teknolojia hii tuendeshe wenyewe!!!
Msukuma ni nani by the way, I don't know her.Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Wewe siyo hata wa kusikilizwaMbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Tatizo ni vipengele vya mkataba na sio ufanisi wa mwekezaji , tatizo mnachepusha hoja ndo mana mnawaza kuanza kamata kamata ,View attachment 2651462
DpWorld Jebel Ali Port mizigo haikai hapo ni mwendo wa masaa tu mzigo uko Dukani.