Mustafa Mkulo aibiwa laptop bungeni (bunge la katiba ) Dodoma

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
Mbunge wa Kilosa Mustafa Mkulo ameibuka na kudai mbele ya mwenyekiti Pandu Kificho kaibiwa laptop ; mpaka sasa hajaipata.

Mpaka tunaenda mitambano. Bado juhudi za kupata laptop yake zimegonga mwamba.

source; mtanzania pg 5
 
Ha!ha!ha! kama ndivyo hivi tusubili watu kuibiwa simu sana tu..........
 
Mbunge wa kilosa mustafa mkulo ameibuka na kudai mbele ya mmwenyekiti pandu kificho
kaibiwa laptop ; mpaka sasa hajaipata.

Mpaka tunaenda mitambano. Bado juhudi za kupata laptop yake zimegonga mwamba

source; mtanzania pg 5

Mtikila alisema bunge limejaa wahuni, na hivi kuongezwa posho mizinguo msishangae shughuli zikakwama baada ya watu kuondoka na mic.
 
Bunge lenyewe lakitaa!!Tutapata android kibao likiisha ngoja nitafute masoftware ya kuflash IMEI-0001385......
 
Akome.wabunge wa ccm kusinzia du nawakubali.wananchi jifunzeni wabunge wa ccm ni mizigo.
 
Kama ccm waliiba cm ikulu, na pia waliiba kura za mon bungeni watashindwa hiyp lopto
 
Ukarabati wote walioufanya hamna surveillance?

Hilo nalo neno, kwa billioni nane za ukarabati kulitakiwa kuwe na camera zinazorekodi matokeo yote humo ndani.

Ni kiasi tu cha kurudisha mkanda tunampata mwizi - very simple mambo ya teknologia ya kileo.
 
Back
Top Bottom