Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,042
- 2,414
Ccm hoye.... hoyeeeeeeee.... zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama ... zidumuu.... ccm safi....safiiiiiii..... wapi Jecha apewe tuzo.....Waafrika bhana, mnashawishika Kirahiisi! Kwa kuwa tu Wazungu hupigiana simu basi ndo njia sahihi? Kwa hiyo Dunia nzima kuanzia Ujapani mpaka Central Europe yoite ambapo hakuna utamaduni kama huo kote huko hamna Demokrasia? Kwa kuwa kapiga simu ndo mnaona nijambo la kujivunia?
The devil is in the details haujui ni kwa nini hata kaamua kuachia ngazi!
Muafrika ni mutoto wa Muzungu!