py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Waliokimbia nchi ni mashoga na lgtb groups basiAnajihami maana anajua mziki utakaofuata, sijui kama atabaki salama kwa aliyokuwa ameyafanya, kuua watu wanaompinga, kuwatesa mpaka wengine kukimbia nchi. viongozi wetu huwa wanajisahau sana kuwa uongozi ni mapito