Mwanangu upo kama mimi Moja Kati ya vitu vilivyonichosha ni video graphics zake yaani ilinipa kizunguzungu mpaka nikaona niishie dk 30 tu nilishindwa kuimaliza aisee nikaamua niifute kabisa ila nimejifunza kitu tusipende download tu movie kwasababu wengi wamesema nzuri au promo nikubwaNipo naangalia Carter hapa kwanza ipo overrated, uongo uongo aisee sio poa jamaa jinsi anapigana na wale ma agents kwenye zile minivans tatu na kwa wale wa mapikipiki yani hakuna uhalisia plus camera haijatulia mara inabinuka hivi mara vile, mara ipinde hivi, unajikuta unatamani hata uinamishe tv ili uone vizuri na hapa ndio waliponichosha mpaka zile action zinaisha nmehisi kizunguzungu