Must see Movies

Ilivyotoka tu wadau tulimalizana nayo fasta. Kuna wabongo walikuwa wanaiponda ukiwaambia wakutajie nyingine nzuri kwa sasa wanarara mbere
๐Ÿ˜
 
Muvi gani haina uongo?

Ni sawa na wanao iponda The Night Agent ukiwauliza wakupe series nzuri ya sasa wanakula kona au wanakutaji vitu vya ajabu mpaka unabaki mdomo wazi ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Scars hapa sasa kama ni promo nilijitahidi inatosha kwa leo๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Yeah kabisa nakubaliana na maoni yako

Jinsi imeisha imekata kiu yote hakuna maswala ya kupeana alosto kusubiria next season

Hata ikitokea season 2 haijatoka bado wanakuwa hawadaiwi sans na audiences
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ