Eeh Jackie aliwahi kuitoa maiti, ila alijua kumpelekesha, ki Jackie kinateleza tu nikasema leo John kayakanyaga, mwili mkubwa vs mwili mdogo, na pale wapo kwenye yale makorongo John anamuuliza "what should we do?" anamjibu "i have a plan"mara wote watatu wanaonekana wanapiga kelele "heeeeeeeeeelp" nilicheka sana,