Amri kuu ni Upendo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 789
- 495
Kwa Wazungu, filamu za Afrika zinazoshinda ni zile zinazoelezea matatizo yanayowapata waafrika...Disgusting!!!
Kwao, sisi Afrika ni shida, tabu, adha, kadhia, matatizo, dhahama, mapito na maneno yanayofananana na hayo. I dont buy that!!
Waafrika tunaishi kwa kupendana (nakubali tuna matatizo ya hapa na pale)...Lakini tunathaminiana sana....na zikitengenezwa filamu za Mshikamano, utakuta zinakamata mkia... To hell with their rating!!
zetu sio filamu bali ni maigizo.
Hapa mkuu licha ya ujumbe pia tukiangalia upande wa viwango bongo movie ni sifuri kabisa, sauti mbaya, position za camera mbaya, rangi hovyo kabisa, uvaaji wa uhusika pumbafu kabisa, location za kijingajinga,na wanapoigiza mapigano (action) ndio wanakuwa pumbaaafu kabisa...
Upo sahihi sana mkuu.kwangu hata geti hazivuki hizo! nyingi zimesheheni UFIRAUNI
Flight?..You better take your gun with you, 'cause there a lot of them in there!.I've to watch Flight this weekend. Django was cool.....Life of Pi was good.
BAK Vipi wewe? what's next??
Flight?..You better take your gun with you, 'cause there a lot of them in there!.
Well....am just saying!.ha ha..Youuuuu?!!!..I'm well equipped, worry not!!
Well....am just saying!.
Hii ni kati ya movie chache alizoact Tom Hanks nilizozipenda (Nyingine ni Saving Private Ryan, You've got a mail & Catch me if you can)..mpaka leo ninayo kwenye movie library yangu...!
Thanks kwa kukumbushia na kwa hii video yake mkuu jouneGwalu ...Uwe na weekend njema!!!