Musoma location

Musoma location

Ndio bhana nimepaona pako poa ila pamepoa sana ngoja nisikilizie mida ya jioni jioni
IMG_20181220_150707.jpeg
 
Nenda shule ya msingi mwisenge uombe kuonyeshwa dawati alilokuwa akikalia Mwl. JULIUS KAMBARAGE NYERERE wakati wa kusoma kwake shuleni hapo,


Nenda Makoko Jeshini ujionee kambi kubwa ya jeshi ilipo ila usije ukakojoa jirani na kambi maana wajeda watakugawana, hata hivyo ni outdated kambi ya kijeshi ambayo haina kifaa chochote chenye teknolojia ya maana.


Nenda eneo la kigera ujionee miji ambayo wanafamilia wake 17 waliuawa mwaka 2009/2010 na watu waliodhaniwa kulipiza kisasi. Ktk mauaji hayo kuna mtoto mmoja tu aliponea chupuchupu, akachukuliwa na serikali.


Kisha nenda mtakuja kuna shimo la ajabu katikati ya miamba ambalo haijulikani lilichimbwa na nani, mwaka 2009 lilibainika baada ya kudhaniwa misukule kutokea kwenye shimo hilo.

Baada ya hapo, ukiwa uko salama bila jeraha basi tafuta lodge ya kupumzika ambayo ipo kwenye laini moja ya umeme na mji wa mkuu wa mkoa maana laini ya mkuu wa mkoa haikatiwagi umeme hovyo.


Ikitokea umepata jeraha lolote bhasi nenda haraka hospitali binafsi maana utahudumiwa haraka na kwa ufanisi, hospitali hizo ni Kada dispensary ipo mkendo na Manga dispensary ipo iringo karibu na NBC main Branch.


Siku utakayokuwa unarudi mkoa ulipotoka pita standi ya zamani ya musoma mjini ujionee eneo ambalo lina mahandaki mengi kwa chini.
 
Dah!mkuu nilichojionea japo nimetoka ila nitarudi kufuata ushauri wako kwa makini ahsante sana
Nenda shule ya msingi mwisenge uombe kuonyeshwa dawati alilokuwa akikalia Mwl. JULIUS KAMBARAGE NYERERE wakati wa kusoma kwake shuleni hapo,


Nenda Makoko Jeshini ujionee kambi kubwa ya jeshi ilipo ila usije ukakojoa jirani na kambi maana wajeda watakugawana, hata hivyo ni outdated kambi ya kijeshi ambayo haina kifaa chochote chenye teknolojia ya maana.


Nenda eneo la kigera ujionee miji ambayo wanafamilia wake 17 waliuawa mwaka 2009/2010 na watu waliodhaniwa kulipiza kisasi. Ktk mauaji hayo kuna mtoto mmoja tu aliponea chupuchupu, akachukuliwa na serikali.


Kisha nenda mtakuja kuna shimo la ajabu katikati ya miamba ambalo haijulikani lilichimbwa na nani, mwaka 2009 lilibainika baada ya kudhaniwa misukule kutokea kwenye shimo hilo.

Baada ya hapo, ukiwa uko salama bila jeraha basi tafuta lodge ya kupumzika ambayo ipo kwenye laini moja ya umeme na mji wa mkuu wa mkoa maana laini ya mkuu wa mkoa haikatiwagi umeme hovyo.


Ikitokea umepata jeraha lolote bhasi nenda haraka hospitali binafsi maana utahudumiwa haraka na kwa ufanisi, hospitali hizo ni Kada dispensary ipo mkendo na Manga dispensary ipo iringo karibu na NBC main Branch.


Siku utakayokuwa unarudi mkoa ulipotoka pita standi ya zamani ya musoma mjini ujionee eneo ambalo lina mahandaki mengi kwa chini.
 
Hivi mkuu hayo mahandaki ndio yakoje au hayo mafremu ya maduka duka au hili jengo lililo telekezwa
Nenda shule ya msingi mwisenge uombe kuonyeshwa dawati alilokuwa akikalia Mwl. JULIUS KAMBARAGE NYERERE wakati wa kusoma kwake shuleni hapo,


Nenda Makoko Jeshini ujionee kambi kubwa ya jeshi ilipo ila usije ukakojoa jirani na kambi maana wajeda watakugawana, hata hivyo ni outdated kambi ya kijeshi ambayo haina kifaa chochote chenye teknolojia ya maana.


Nenda eneo la kigera ujionee miji ambayo wanafamilia wake 17 waliuawa mwaka 2009/2010 na watu waliodhaniwa kulipiza kisasi. Ktk mauaji hayo kuna mtoto mmoja tu aliponea chupuchupu, akachukuliwa na serikali.


Kisha nenda mtakuja kuna shimo la ajabu katikati ya miamba ambalo haijulikani lilichimbwa na nani, mwaka 2009 lilibainika baada ya kudhaniwa misukule kutokea kwenye shimo hilo.

Baada ya hapo, ukiwa uko salama bila jeraha basi tafuta lodge ya kupumzika ambayo ipo kwenye laini moja ya umeme na mji wa mkuu wa mkoa maana laini ya mkuu wa mkoa haikatiwagi umeme hovyo.


Ikitokea umepata jeraha lolote bhasi nenda haraka hospitali binafsi maana utahudumiwa haraka na kwa ufanisi, hospitali hizo ni Kada dispensary ipo mkendo na Manga dispensary ipo iringo karibu na NBC main Branch.


Siku utakayokuwa unarudi mkoa ulipotoka pita standi ya zamani ya musoma mjini ujionee eneo ambalo lina mahandaki mengi kwa chini.
 
Back
Top Bottom