Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,912
Ni kweli.
Lakini siyo wengi kama Tarime.
Hao tunawafahamu vizuri hatuhitaji hata picha zao wasije wakakumalizaMbona hamjaniuliza kuhusu picha ili Uzi unoge hivi
Chukua boda nenda matvila Beach ukapunge upepo
Hao ukiwahitaji nenda Tarime siyo MusomaNgoja nikae hapa niwasikilize wakulya, hawapendi uongo hawa, ukiwadanganya hawachelewi kukukata mapanga
mkuu njoo buzuruga kuna kijiwe kinaitwa DV8 hutojuta kwani kuna misambwanda ya hatari.......
Hao ukiwahitaji nenda Tarime siyo Musoma
Ndiyo pako vizuri mkuuPako poa na Huduma zingine
Hao hata huku Dar ukiwahitaji ni wengi tuHao ukiwahitaji nenda Tarime siyo Musoma
Nipo hapa lakini hamna kituChukua boda nenda matvila Beach ukapunge upepo
Uzuri mkoa wetu umejaaliwa makabila mengi kabisa pamoja na udogo wake wa eneo 24. Na kila moja una mambo yake !!Ndipo nilipotokea
pale Palm Beach wanapika kitimoto kizuri sana....
kama unapenda mpira mativila hotel pazuri
kama club pale club house pazuri
kama unataka kutulia kuna tembo beach kuna mativila beach kuna bwalo la
pale Palm Beach wanapika kitimoto kizuri sana....
kama unapenda mpira mativila hotel pazuri
kama club pale club house pazuri
kama unataka kutulia kuna tembo beach kuna mativila beach kuna bwalo la
Hao wa Dar wanajuwa na sheriaHao hata huku Dar ukiwahitaji ni wengi tu




Chukua boda nenda matvila Beach ukapunge upepo
mkuu njoo buzuruga kuna kijiwe kinaitwa DV8 hutojuta kwani kuna misambwanda ya hatari.......