Muslim singles matching thread: Wachumba wa kiislam hapa

Muslim singles matching thread: Wachumba wa kiislam hapa

Status
Not open for further replies.
....sasa sikiliza mimi mkristu na nitatafuta watoto hukuhuku,naamini nna sifa zaidi ya wengi humu,labda muweke vipengele vya upendeleo km kujua Quran!,
Kwanza suala la picha ni muhimu kuliko yote uliyoandika hapo!
ahahaaa utakuwaje hujui Quran ila uwe muislam sasa?
 
Aisee mi ni mkristo ila napendaga sana totoz za kiislam tangu nitoke Zanzibar. Sijui waliniloga macho? Naweza kujaza?
 
#26 mmnnnh...u must be kidding,mwenye sifa hiyo hawezi'tokea hapa maana anafuatwa mwenyewe alipo,kwamba ni mtulivu ambae kila mtu atatamani kumuoa...KAMA SIO ELEZEA...hatatokea wa kuelezea,hichi kipengele kitoe kitawafanya watu kutenda dhambi ya uongo.nimeshauri tu japo uzi haunihusu unisamehe kwa hilo.
 
Fanya kama kutengeneza document yenye hizo questionnaires??? Tupia humu tudawnload hilo form
 
weweeee embu waulize hao mabinti,,,,,nina maisha mazuri tuu sina vishida vidogovidogo..kausafiri kapo na nyumba..akitaka kufunguliwa biashara poa tuu ilimradi awe tayari kua na mm
 
weweeee embu waulize hao ma

binti,,,,,nina maisha mazuri tuu sina vishida vidogovidogo..kausafiri kapo na nyumba..akitaka kufunguliwa biashara poa tuu ilimradi awe tayari kua na mm
teh jaza fomu hapo juu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom