Muslim singles matching thread: Wachumba wa kiislam hapa

Muslim singles matching thread: Wachumba wa kiislam hapa

Status
Not open for further replies.
Thread nzuri na inamake sense,wasiwasi wangu ni ipi confidentiality ambayo mhusika anaekutumia details anaipata,unamhakikishiaje huwezi kumisuse info na details zake?
 
Thread nzuri na inamake sense,wasiwasi wangu ni ipi confidentiality ambayo mhusika anaekutumia details anaipata,unamhakikishiaje huwezi kumisuse info na details zake?
ni kuwa tu na imani mkuu siwezi mkosea mtu kiivo sio fair
 
Very good initiative. Ikileta ndoa una fungu la thawabu kwa kila kheri waifanyayo ktk ndoa na maisha yao. Jazakallah khair
 
Nimeipenda namba 26, ila kwenye kutoa sababu sasa....utashangaa kila mtu anasema alibakwa.
 
hakuna kitu kama hiki kwenye uislam! .. unampenda bint nenda kwa wazee wake sio kuikurubia zinaa mitandaoni
 
Kijitenga ndiyo nini?
kijitenga ni kijiji kinachofuata ukitoka mtangimbole,ni mbele kidogo tu ilininda.
pia kujitenga ni hali ya kujiweka mbali na wengine...ni kama huu uzi mnavyofanya.
Bado kidogo mtaleta Muslims forum.
mnahangaika sana halafu hamjiamini
 
Huyu ni agent wa ndoa?nadhani serikali imfuatilie kwa makini sana,asije kuwa an recruit na kuwapeleka wasipopajua na mwisho wake ukawa ni fedhea kwa taifa,nafikiri nimeeleweka
 
"I believe that there no god/God but Allah."
"I believe that Muhammad is God's Holy Prophet."

Mkuu kwenye signature yako hizi line mbili ndo zinanikanganya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom