Muslim preachers from Tanzania kidnapped in DR Congo

Muslim preachers from Tanzania kidnapped in DR Congo

Ukraine kulikuwa na machafuko, watanzania wakapata shida.
South Africa wakati wa mapigano dhidi ya wageni.
Libya na Misri vivo hivyo.
Serikali haijawahi kujali maslahi ya wananchi wake.
Tunaishi kama tupo mbugani.

Halafu wanakuja watu hapa na kuuliza ooh ati waliaga wakati wa kuondoka..! Yaani hajui kesho anaweza kuwa ni ndugu yake ambae atakumbwa na tatizo kama hilo.. Inakera sana hii Mkuu..
 
Halafu wanakuja watu hapa na kuuliza ooh ati waliaga wakati wa kuondoka..! Yaani hajui kesho anaweza kuwa ni ndugu yake ambae atakumbwa na tatizo kama hilo.. Inakera sana hii Mkuu..

Hawajui maana ya taifa kujali watu wake.

Angalia jinsi US wanavyokinukisha raia wake akipata matatizo.
 
Back
Top Bottom