Muslim preachers from Tanzania kidnapped in DR Congo

Muslim preachers from Tanzania kidnapped in DR Congo

Kama ni watanzania walienda kihalali serikali ingeshatoa tamko hao wanajijua wenyewe.Si kila asemaye mtanzania ni mtanzania.Inawezekana baada ya kudakwa na FDLR wanajitia watanzania ili waachiwe kwa kuwa FDLR inaogopa sana watanzania.Watajuana wenyewe na hao FDLR waliowadaka

Ni kweli kabisa. Taratibu lazima zifuatwe....after all kuhubiri dini sio kitu kibaya. Ubaya ni kutumia njia haramu kufika huko kama kweli ndio walivyofanya.
 
udini unakutafuna ILA zamu yenu ikifika mm na wezangu tutacheka km iv ili kulipiza kejeli hizi au sio faiza foxy

Mimi ni mkristo, lakini ndugu kwanza. Serikali iangalie namna ya kuwasaidia. Inasikitisha sana kuona mtanzania anafurahia watanzania wa dini nyingine kutekwa. Ni aibu.
 
Kama ni watanzania walienda kihalali serikali ingeshatoa tamko hao wanajijua wenyewe.Si kila asemaye mtanzania ni mtanzania.Inawezekana baada ya kudakwa na FDLR wanajitia watanzania ili waachiwe kwa kuwa FDLR inaogopa sana watanzania.Watajuana wenyewe na hao FDLR waliowadaka

Mkuu hebu nidadavulie hapo kwann FDLR iogope watanzania?
 
Kwani unaposafiri kwenda nje unatakiwa kuiaga serikali..?
Kuaga serikali ni LAZIMA.. naona hujawahi kusafiri nje ya nchi wewe!! lazima upitie ofisi ya uhamiaji useme unaenda wapi na kwa shughuli ipi na kwa muda gani ndo upewe kibali... sina shaka uliwahi kusikia kitu kinaitwa pasi ya kusafiria. hiyo unapovuka mpaka unagongwa muhuri wa nchi yako ndo kuanga na unapoingia nchi ya wengine wanagonga mhuri hiyo ndo karibu.

sasa kama hawa wahubiri wa neno la allah hawakufanya hivyo ni vigumu kujua ni watanzania.
 
Mwenzao mmoja alipata kusema Mapadri wauliwe tu, uliwahi hata siku moja kumlaani

.... wewe uliwahi kuwa laani walio muua Yesu !?? MtamaMchungu au ndio kwanza unawasifia kuwa wamesababisha wewe uokoke !? :der:
 
Last edited by a moderator:
Wanajuana hao, wote ni ISIS tu waache wamalizane wenyewe

"mpende jirani yako kama nafsi yako".Unalifahamu andiko hilo?Pili,kazi kuu iliyoachiwa kanisa ni kuhubiri habari njema ya ufalme wa Mungu duniani kote ili watu wamkiri Yesu na kuokoka hukumu siku ya kiama.Tunawahubiri wale wasiomjua Yesu,waislam wakiwemo.Yesu ni dhabihu kwa ajili ya binadamu wote.Sasa unapotaka kondoo hao "wamalizane wenyewe" sijui unataka tumuokoe nani wakati wewe tayari unamjua Yesu na hauhitaji tena huduma yetu!au ndo uchoyo wenyewe huo?"tafuteni kuwa na amani na watu wote,na huo utakatifu ambao hapana awezae kumwona Mungu asipokuwa nao".
 
Ndio...kupitia Passport, ukipewa passport na Immigration maana yake unaaga

Mkuu labda kiswahili kinapanuka lakini huwezi kuita taratibu za sheria ni sawa na kuaga.. Kuaga ni neno la kawaida na lenye maana rahisi tu.. Huko mlikoliweka halibebi maana hiyo mnayomaanisha.. Ipende lugha yako..

Kuaga serikali ni LAZIMA.. naona hujawahi kusafiri nje ya nchi wewe!! lazima upitie ofisi ya uhamiaji useme unaenda wapi na kwa shughuli ipi na kwa muda gani ndo upewe kibali... sina shaka uliwahi kusikia kitu kinaitwa pasi ya kusafiria. hiyo unapovuka mpaka unagongwa muhuri wa nchi yako ndo kuanga na unapoingia nchi ya wengine wanagonga mhuri hiyo ndo karibu.

sasa kama hawa wahubiri wa neno la allah hawakufanya hivyo ni vigumu kujua ni watanzania.

Sawa mie sijawahi kusafiri nje ya nchi na hata hiyo pasi ya kusafiria sina na wala sijui inapatikanaje.. Lakini hapa mie tatizo ni neno lililotumika la kuaga.. Huwezi kusema ati hakuaga serikali.. Msiharibu maana ya neno kuaga..

Ingeulizwa kama ni kweli hawa waliopatikana na kadhia hiii waliondoka nchini kihalali..? Lakini vile vile hata kama hawakufuata taratibu walipoondoka bado serikali ina wajibu wa kuhakikisha wanapatikana na kurejeshwa nchini salama.. Baadae ndo iweze kuchukua hatua zinazostahili dhidi yao..
 
Mkuu labda kiswahili kinapanuka lakini huwezi kuita taratibu za sheria ni sawa na kuaga.. Kuaga ni neno la kawaida na lenye maana rahisi tu.. Huko mlikoliweka halibebi maana hiyo mnayomaanisha.. Ipende lugha yako..



Sawa mie sijawahi kusafiri nje ya nchi na hata hiyo pasi ya kusafiria sina na wala sijui inapatikanaje.. Lakini hapa mie tatizo ni neno lililotumika la kuaga.. Huwezi kusema ati hakuaga serikali.. Msiharibu maana ya neno kuaga..

Ingeulizwa kama ni kweli hawa waliopatikana na kadhia hiii waliondoka nchini kihalali..? Lakini vile vile hata kama hawakufuata taratibu walipoondoka bado serikali ina wajibu wa kuhakikisha wanapatikana na kurejeshwa nchini salama.. Baadae ndo iweze kuchukua hatua zinazostahili dhidi yao..

Naona unapata wakati mgumu kutafsiri lugha za kidplomasia na sheria (kv passport) katika maisha ya kila siku na lugha zake.
 
Eight Muslim preachers from Tanzania have been kidnapped in eastern Democratic Republic of Congo, an area where several armed groups operate and kidnappings are frequent, authorities said Wednesday.

The preachers were taken over the weekend from the Kiseguro area, in the restive province of North Kivu, province Governor Julien Paluku told AFP.

"We have referred the case to our foreign affairs mission so that it can alert its Tanzanian counterparts," he added.

Kidnappings for ransom, often with physical violence against the hostages, are frequent in the territory around Kiseguro.

Several armed groups, including the ethnic Hutu militia Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR), operate in the east of DR Congo, which is a Christian-majority country.

"It appears the (victims) are Muslims who were travelling for the purpose of preaching when they met some unidentified bandits who took them hostage," said imam Masudi Kadogo, who represents the Muslim community in North Kivu.

Just a few months ago a Muslim leader in the area was taken hostage and later released in exchange for a ransom, he added.

It is not clear who captured the preachers, but authorities speculated that FDLR or local youths could be behind the kidnapping.

The FDLR has been active in Democratic Republic of Congo - which borders both Rwanda and Burundi - since crossing over from Rwanda after the 1994 genocide of mainly Tutsi people there.

Opposed to Rwandan President Paul Kagame's Tutsi-dominated government, they are accused of carrying out brutal attacks on civilians in eastern DR Congo and of smuggling gold.

Source:Muslim preachers from Tanzania kidnapped in DR Congo
Je majina yao tutayapata wapi mkuu? Pana mwanangu mmoja yuko huko kwa shughuri hiyo hiyo.
 
Mkuu labda kiswahili kinapanuka lakini huwezi kuita taratibu za sheria ni sawa na kuaga.. Kuaga ni neno la kawaida na lenye maana rahisi tu.. Huko mlikoliweka halibebi maana hiyo mnayomaanisha.. Ipende lugha yako..

Sawa mie sijawahi kusafiri nje ya nchi na hata hiyo pasi ya kusafiria sina na wala sijui inapatikanaje.. Lakini hapa mie tatizo ni neno lililotumika la kuaga.. Huwezi kusema ati hakuaga serikali.. Msiharibu maana ya neno kuaga..

Ingeulizwa kama ni kweli hawa waliopatikana na kadhia hiii waliondoka nchini kihalali..? Lakini vile vile hata kama hawakufuata taratibu walipoondoka bado serikali ina wajibu wa kuhakikisha wanapatikana na kurejeshwa nchini salama.. Baadae ndo iweze kuchukua hatua zinazostahili dhidi yao..


Tatizo tunabishana na mswahili wa uswahilini...limited mind hata kwny matumizi ya lugha
 
Ndo utajua maisha ya watanzania yasivyothaminiwa na serikali hii.. Yaan husikii kauli ya serikali kuhusu shida wanayopata watanzania hawa huko Congo..

Ukraine kulikuwa na machafuko, watanzania wakapata shida.
South Africa wakati wa mapigano dhidi ya wageni.
Libya na Misri vivo hivyo.
Serikali haijawahi kujali maslahi ya wananchi wake.
Tunaishi kama tupo mbugani.
 
Back
Top Bottom