Muslim beauty waoooo!!!!

Muslim beauty waoooo!!!!

Status
Not open for further replies.
Kuna mdau mmoja alisema tungempeleka yule Mkuu wa mkoa.
 
Fear God Bw.HappinessWin ! Hakuna shida wewe unahaki ya kukoment,uhuru wa kuandika... ileweke ukikusudia neno hakuna atakaekukunyamazia ukija kwa ubaya utalipwa na ubaya Ukija na wema utarudishiwa wema ! "an eye for an eye" ... hapa hakuna aliyejuu ya sharia. take care eti ninaujua uisilamu ? mmmh lini ...jana au leo ? kesho

Watu wa visasi utawaona tu sura zao na utawajua kwa maandishi yao! JINO KWA JINO! HAAAAAH! ubaya kwa ubaya loooooooooooh nimekufanyia ubaya gani? haya bibie mie siujui uislam ila wewe!
 
Inabidi mtofautishe kati ya muislamu na uislamu. Uislamu umeharamisha hayo mambo yote na mwanamke stara ndo mana masista wa katoliki wamelitambua hilo huwezi kuta wamevaa min skirt o skin jeans. Wao ni full ushungi na magauni marefu hadi chini na mikono mirefu hata wanawake wema wote waliopita kina Maria-magdalena hawakuvaa hvyo hata bikra la maria mama wa yesu hakuvaa min skirt sasa nyie huo ustaarabu wa kuvaa viskin tight na min skirt mmeutoa wapi na akati kwenye ukristo haupo na hilo limedhihirishwa na wanawake wema waliopita wa dini yenu. kwa sisi uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya binadamu ndo mana sisi kwetu kila kitu tunachofanya ni ibada ila kinabidi kiwe kimethibiti kupitia holy quraan, hadithi na sunna za mtume na kwa wema wote waliopita.
 
Inabidi mtofautishe kati ya muislamu na uislamu. Uislamu umeharamisha hayo mambo yote na mwanamke stara ndo mana masista wa katoliki wamelitambua hilo huwezi kuta wamevaa min skirt o skin jeans. Wao ni full ushungi na magauni marefu hadi chini na mikono mirefu hata wanawake wema wote waliopita kina Maria-magdalena hawakuvaa hvyo hata bikra la maria mama wa yesu hakuvaa min skirt sasa nyie huo ustaarabu wa kuvaa viskin tight na min skirt mmeutoa wapi na akati kwenye ukristo haupo na hilo limedhihirishwa na wanawake wema waliopita wa dini yenu. kwa sisi uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya binadamu ndo mana sisi kwetu kila kitu tunachofanya ni ibada ila kinabidi kiwe kimethibiti kupitia holy quraan, hadithi na sunna za mtume na kwa wema wote waliopita.

kwaio kama kote huko hakipo kinakua ni bidaa(uzushi/hakipo kwenye dini) kama hayo mashindano ya umiss
 
Mkuu Nonda, hayo unayoyasema wewe angalau yanafanyika kwa siri na wafanyao hivyo watahukumiwa na Mungu siku yao ikifika. Lakini ili limefanyika hadharani tena mchana kweupe as if kitabu kinaruhusu!!!!

Tiba
Warembo hawa wamevaa kama Mtakatifu Maria,Mama "za" Mungu wa Max.Lakini Soma mchango wa Ritz post #83 .




 
Last edited by a moderator:
Watu wa visasi utawaona tu sura zao na utawajua kwa maandishi yao! JINO KWA JINO! HAAAAAH! ubaya kwa ubaya loooooooooooh nimekufanyia ubaya gani? haya bibie mie siujui uislam ila wewe!
Black and White !! dini yangu haina masikhara wala mzaha, Wewe cheza na mimi lakini usikosee kuchezea waisilamu yatakukuta, we cheza na moto! Sisi AL-Hamdulillah sura Kind faces zetu zimetajwakatika vitabu takatifu vote " Simmahum fii ujuhihim min athari al-Sujuud " sasa ulisema unaujua Uislamu :- tuambie.... At the end of the day sie hatuanzishi uhasama wa fitina, Daima ujio wetu huwaga ujio mwema.AMIN
 
View attachment 112517
View attachment 112521
View attachment 112518
View attachment 112519
View attachment 112520
A Nigerian contestant has been crowned the winner of a beauty pageant for Muslims in Indonesia's capital, Jakarta.
Hii habari ni kweli mkuu jana nimeiona BBCswahili,Haya mashindano yamefanyika indonesia kwa mujibu wa bbcswahili
Na huyu dada amezawadiwa trip ya kutembelea mji mtakatifu wa macca na dola za kimarekani 2200.Washindani wengine walitoka nchi za Iran,Malaysia n.k.Naamini nchi ya Iran ni miongoni mwa nchi maarufu kwa kuenzi uislam.kama nayo imetoa washiriki basi hata sisi wabongo mwaka ujao wakali wa mavazi haya watuwakilishe,Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao leo(20.9.2013) kuona kama kuna tamko lolote kutoka mamlaka husika kumzuia mrembo huyo asitembelee mji mtukufu
wa macca sikuona,hivyo nadhani jambo hilo limepitishwa rasmi.
Lakini pia kama ni kosa kwa Tanzania basi taasisi husika ziandae maandamano ijumaa ijayo baada ya swala
kupinga mrembo huyo asitembelee mji wa macca.
 
Uislam ni dini inayojisimamia wala haitaji upuuzi kama huu.
Kumbe Ritz,mtu wa mungu ndo maana uko tayari kufa na ccm? Nasubiri fadhira zako baada ya uchaguzi 2015
endapo Lowasa atakuwa rais wa tz bara Msekwa akawa makamu wa rais,sumaye akawa rais wa zanzibar,nape akawa makamu wake na kinana akawa waziri mkuu .
 
Hii habari ni kweli mkuu jana nimeiona BBCswahili,Haya mashindano yamefanyika indonesia kwa mujibu wa bbcswahili
Na huyu dada amezawadiwa trip ya kutembelea mji mtakatifu wa macca na dola za kimarekani 2200.Washindani wengine walitoka nchi za Iran,Malaysia n.k.Naamini nchi ya Iran ni miongoni mwa nchi maarufu kwa kuenzi uislam.kama nayo imetoa washiriki basi hata sisi wabongo mwaka ujao wakali wa mavazi haya watuwakilishe,Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao leo(20.9.2013) kuona kama kuna tamko lolote kutoka mamlaka husika kumzuia mrembo huyo asitembelee mji mtukufu
wa macca sikuona,hivyo nadhani jambo hilo limepitishwa rasmi.
Lakini pia kama ni kosa kwa Tanzania basi taasisi husika ziandae maandamano ijumaa ijayo baada ya swala
kupinga mrembo huyo asitembelee mji wa macca.

Kama na wewe umeiona basi hata na wengine pia watakuwa wameiona pia hivyo kumbe hata mwakani Tanzania ikijipanga inaweza peleka mwakilishi akajalibu na uku maana kwenye yale mashindano mengine akuna kitu kila siku visingizio kibao tunasubili visingizio vya mwaka huu pia Ludenga upo changamkia Fursa ya kuandaa hili la Muslim...!!!lakini vigezo na masharti vizingatiwe.
 
Kwenye usilamu hakuna kitu hiko,huo ni ufreemason uliobatizwa nembo ya usilamu,kwanza hakuna aliyo vaa kisheria hata mmoja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom