Muslim beauty waoooo!!!!

Muslim beauty waoooo!!!!

Status
Not open for further replies.
Chezea tindikali weye! nimevaa helmet mapemaaaaaaaaa kazi kwako mleta uzi

Mi hawanipati maana uzi huu nimeuandika niko Indonesia nampa sapport Miss Tanzania ila analalamika Baridi sana huku.
 
Dhihaka zote za nini? Mbona masista wanavaa hivyo na hamsemi?
Mbona picha zote za bikra Maria kavaa ushungi hamsemi?
Haya wanayofanya ni mapenzi yao tu ila katika Quran hayapo na hayakubaliki,kwa hiyo mtu kuvaa hijabu au kanzu sio kwamba anawakilisha uislam,
 
Kwa hiyo unamtia joto? huyo hawezi hata kuingia 40 bora.

Hapana kuhusu nafasi yake ya kushinda ngoja tusubili tuone lakini Dalili zishaanza kuoneka jasili haachi jasili....ha!ha!samahani lakini kwa wahusika....
 
View attachment 112517
View attachment 112521
View attachment 112518
View attachment 112519
View attachment 112520
A Nigerian contestant has been crowned the winner of a beauty pageant for Muslims in Indonesia's capital, Jakarta.
Congratulations NEW LOOK girls !! Time will tell.....Bravo mleta uzi!!
Thought provoking.

A Non Muslim man came to a Muslim and asked: Why is it Not Permissible in Islam for a Woman to shake hands with a Man?
<o😛></o😛>

Muslim : Can you shake hands with Queen Elizabeth?<o😛></o😛>


Man: Of course not, there are only certain people who can shake hands with Queen Elizabeth.<o😛></o😛>


Muslim replied: Our Women are Queens and Queens do not shake hands with strange men.

Man: Why do your Girls cover up their body?

The Muslim smiled and got two sweets, he opened the first one and kept the other one closed. He threw them both on the dusty floor and asked him: If I asked you to take one of the sweets which one will you choose?
Man: The covered one.<o😛></o😛>


Muslim: That's how we treat and see our women. Women should not be like the Moon which everyone can See and Admire, they should be like the Sun which makes the Viewers Lower their Gaze.
Man: Show me God if he exists.<o😛></o😛>


Muslim : Look at the Sun
Man: I Can't see, the Rays hurt my eyes.
Muslim: If u can't look at the Creation of God then how will you be able to Look at the Creator?<o😛></o😛>


Lastly the Non Muslim invited the Muslim to his house and gave him Grapes, the Muslim ate them, then he offered him a cup of wine, the Muslim refused, the Man asked him how come you Muslims are forbidden wine and eat grapes although the wine came from grapes?<o😛></o😛>


Muslim : Do you have a daughter?
He said yes, the Muslim asked him could you marry her?<o😛></o😛>


Man said no, the Muslim said Subhan Allah, you marry her mother and can't marry her although she came
from her too

A must read ....Awesome message.
Peace be upon You still You are invited...24/7 the doors are open your brothers & sisters wanawakaribisheni!

<o😛></o😛>
 
hiii katika shaaria ya dini ya kiislam hairuhusiwi kwa mwanamke wa kiislam kujionyesha kwa hadhara, akisha jipamba atulizane ndane amsubiri anaye muhusu
huku kuiga kutawaingiza watu katika moto
 
Wazee wa matamko na visomo hawajasema lolote?

Au kwenye kitabu imo hii?
Mheshimiwa Y N, Sisi tunaita " DINI na DUNIA " Yaani wakati mmoja Tunaitumikia Dini ya MwnyeEzzi Mungu na wakati huo pia tunaishughulikia Dunia kama tulivyo tandikiwa " bila kuvunja Amri na Utiifu wake muumba.
Sasa tatizo liko wapi..? Nafikiri kama tuakosea itakuwa baina ya sisi na Dini yetu...Ambayo Mwenyeezzi Mungu ni Msamehaji mkubwa.
Tofauti na wenye Kumshirikisha Mwenyeezi Mungu au kumlinganisha !!
Ubarkiwe kuona haki na nuru.AMIN

 
Hii Kitu inaruhusiwa kwenye kile kitabu kilichoshushwa kutoka mawinguni?

Tiba
Mheshimiwa Sister TIBA, Sisi tunaita " DINI na DUNIA " Yaani wakati mmoja Tunaitumikia Dini ya MwnyeEzzi Mungu na wakati huo pia tunaishughulikia Dunia kama tulivyo tandikiwa " bila kuvunja Amri na Utiifu wake muumba.(katupa timu ya kujifurahisha na timu za kumuabudu kikweli)
Sasa tatizo liko wapi..? Nafikiri kama tutakosea itakuwa baina ya sisi na Dini yetu...Ambayo Mwenyeezzi Mungu ni Msamehaji na mwenye rehema kwa viumbe vyake.AMIN
Tofauti na wenye Kumshirikisha Mwenyeezi Mungu au kumlinganisha !!
Ubarkiwe kuona haki na nuru.AMIN
Most welcom!

 
Wazee wa matamko na visomo hawajasema lolote?

Au kwenye kitabu imo hii?
usiwe kama wale mpaka karne wanijiuliza waoe au wasioe,wengine wanruhusu pombe ila usilewe,wengine hawaruhusu kabisa,maana dini yao sii mfumo kamili wa maisha vitu vingi vimeundwa undwa tuu kwa utashi wa binadamu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom