Hii Kitu inaruhusiwa kwenye kile kitabu kilichoshushwa kutoka mawinguni?
Tiba
Nimekaa nkajiuliza mara 10 10 naona hili nalo ni jpya
Hii Kitu inaruhusiwa kwenye kile kitabu kilichoshushwa kutoka mawinguni?
Tiba
Unadhani biashara ya kuuza "moka" hiyo!
Toka mwiba wa ---- kwanza halafu ndio utoe wa mguu, nyambaffff we!
Hii Kitu inaruhusiwa kwenye kile kitabu kilichoshushwa kutoka mawinguni?
Tiba
Hii Kitu inaruhusiwa kwenye kile kitabu kilichoshushwa kutoka mawinguni?
Tiba
Dada Tiba
Ni wazi kitabu hakiruhusu hayo lakini wanajifanyia tu.
Je wazee wa kanisa kuwageuza "maanti" watoto wa kiume katika seminari ni jambo linaloruhusiwa na kitabu cha Paulo?
Tiba siyo mawinguni bibie ni mbinguni.
Mawingu ni mkusanyiko wa mvuke ambao baadae husababisha mvua.
hii happiness W, Hapo ni kusheheekea between sisters hakuna vigezo just aliependa kushiriki alikaribishwa..!! usione ajabu au kujiuliza kuwa civilized sometimes no all the time kuAbuse na kukebehi... Mie sikuzuii ila Mpendelee mwenzio kama utakavopenda kupendelewa yako !! Dresses ni za stara na kila LADY hupenda kujifurahisha na kupendeza... Sasa wewe inakuwasha nini? hujakatazwa kuchungulia upande wa CONTEST zingine MISS WORLD,nk Kwahiyo jiheshimu upate kuheshimka. Kama hupendi waisilamu ! Usitazame events zao na mambo yao na maonyesho yao "leave them alone wao na Mungu wao. Ok Bw,Happiness take care.
View attachment 112517
View attachment 112521
View attachment 112518
View attachment 112519
View attachment 112520
A Nigerian contestant has been crowned the winner of a beauty pageant for Muslims in Indonesia's capital, Jakarta.[/QUOTE
hii ndio mfumo kristo au tindikali zinaharibu sana.
Bibi we taratibu eeeeee! nani kakwambia sipendi waislam?? sina tatizo na waislam na ninaujua uislam kuliko wewe! Suala la heshima linakujaje hapa? nimekukosea heshima? usikurupuke tu na kuanza kunilaumu. Siwashwi na popote nina uhuru wa ku comment na kuuliza chochote nachotaka kujua; hapo haikuelezwa kwama ilikuwa ni watu washerehe zao na wanajifurahisha bila vigezo vyovyote. OWKEYYYY TAKE CARE
Mbona unatoa povu ustaadhi vp?
Jaman, dini zote ni njia za kutupeleka kwa Muumba wetu ambao sote tunamuabudu, Peace n Love to each other will qualify us towards there, tusichukiane wala kubaguana Jaman.
uamsho
Fear God Bw.HappinessWin ! Hakuna shida wewe unahaki ya kukoment,uhuru wa kuandika... ileweke ukikusudia neno hakuna atakaekukunyamazia ukija kwa ubaya utalipwa na ubaya Ukija na wema utarudishiwa wema ! "an eye for an eye" ... hapa hakuna aliyejuu ya sharia. take care eti ninaujua uisilamu ? mmmh lini ...jana au leo ? keshoBibi we taratibu eeeeee! nani kakwambia sipendi waislam?? sina tatizo na waislam na ninaujua uislam kuliko wewe! Suala la heshima linakujaje hapa? nimekukosea heshima? usikurupuke tu na kuanza kunilaumu. Siwashwi na popote nina uhuru wa ku comment na kuuliza chochote nachotaka kujua; hapo haikuelezwa kwama ilikuwa ni watu washerehe zao na wanajifurahisha bila vigezo vyovyote. OWKEYYYY TAKE CARE