Mzee Kishimba ukimfuatilia vizuri hoja zake utampenda, kama utani vile lakini anashusha mantiki nzitonzito sana. Nakumbuka hoja yake ile kuhusu elimu, kwamba sio ufunguo wa maisha tena bali ni "Kifungo cha maisha"!!! Asante kwa kushare
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.