Ushauri kuhusu mfumo wa ESS

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
26,113
34,071
Habarini Wadau,

Kuna huu mfumo wa Employee Self Service (ESS) ambao serikali ilitangaza kuwa Watumishi wote wa umma wanapaswa kujisajili humo na kuratibu mambo yote kwa kutumia mfumo huo

Tulishapewa semina mara moja Ofisini na akiwepo DMO, Meneja wa TANESCO, Watumishi wengine wa Afya na Waalimu kuhusu mfumo huo, ila sasa tumebaki tumehang tunasikia tu ni lazima watumishi wa secta za umma kujisajili bila hivyo watakosa salary yaani kutishana tu na blah blah zingine

Wengi tulijisajili lakini hakuna hatua nyingine inayoendelea baada ya kujisajili, labda kwa Waalimu sijui

SWALI, Ni kwanini Serikali isiwaite wataalamu wa IT / ICT kutoka kwny taasisi hizi na kuwatrain ndani ya muda mfupi kisha na hao wakaja kutoa mwongozo katika hili maofisini?

Kwanini Serikali hii inapenda kuprolong mambo bila sababu za msingi?

Au ndio hela zinaliwa hivyo

Serikali iwe serious
 
Wanatengeneza tatizo, Ili badae liwe msaada wakiwa katika harakati zao za kisiasa. Kama si siasa BASI mazingira ya upigaji yanaandaliwa. Hadi mshituke.. mtakuta manyoya tu.
 
Habarini Wadau,

Kuna huu mfumo wa Employee Self Service (ESS) ambao serikali ilitangaza kuwa Watumishi wote wa umma wanapaswa kujisajili humo na kuratibu mambo yote kwa kutumia mfumo huo

Tulishapewa semina mara moja Ofisini na akiwepo DMO, Meneja wa TANESCO, Watumishi wengine wa Afya na Waalimu kuhusu mfumo huo, ila sasa tumebaki tumehang tunasikia tu ni lazima watumishi wa secta za umma kujisajili bila hivyo watakosa salary yaani kutishana tu na blah blah zingine

Wengi tulijisajili lakini hakuna hatua nyingine inayoendelea baada ya kujisajili, labda kwa Waalimu sijui

SWALI, Ni kwanini Serikali isiwaite wataalamu wa IT / ICT kutoka kwny taasisi hizi na kuwatrain ndani ya muda mfupi kisha na hao wakaja kutoa mwongozo katika hili maofisini?

Kwanini Serikali hii inapenda kuprolong mambo bila sababu za msingi?

Au ndio hela zinaliwa hivyo

Serikali iwe serious
jisajili acha kutusumbua, wenzio wanakopa kupitia huo mfumo, wewe unaendekea kulalamika
 
jisajili acha kutusumbua, wenzio wanakopa kupitia huo mfumo, wewe unaendekea kulalamika
Umeelewa nilichoandika? Tatizo sio kujisajili...tumejisajili lakini mfumo unaonesha kuwa kuna taarifa nyingi zingine za kujaza humo lakini hawatupi access
 
Habarini Wadau,

Kuna huu mfumo wa Employee Self Service (ESS) ambao serikali ilitangaza kuwa Watumishi wote wa umma wanapaswa kujisajili humo na kuratibu mambo yote kwa kutumia mfumo huo

Tulishapewa semina mara moja Ofisini na akiwepo DMO, Meneja wa TANESCO, Watumishi wengine wa Afya na Waalimu kuhusu mfumo huo, ila sasa tumebaki tumehang tunasikia tu ni lazima watumishi wa secta za umma kujisajili bila hivyo watakosa salary yaani kutishana tu na blah blah zingine

Wengi tulijisajili lakini hakuna hatua nyingine inayoendelea baada ya kujisajili, labda kwa Waalimu sijui

SWALI, Ni kwanini Serikali isiwaite wataalamu wa IT / ICT kutoka kwny taasisi hizi na kuwatrain ndani ya muda mfupi kisha na hao wakaja kutoa mwongozo katika hili maofisini?

Kwanini Serikali hii inapenda kuprolong mambo bila sababu za msingi?

Au ndio hela zinaliwa hivyo

Serikali iwe serious
Hii ess wamekurupuka kiaiba huu mfumo haujakaa sawa, mimi ni supervisor, kuna mda naingia sioni watu wangu, kuna siku niliingia nakujta kuna manesi na walimu wa secondari, juzi nimeingia nakuta staf robo ya ninaowasimamia yaan usumbufu balaa, leo nimeingia mfumo haupo kabisa
 
Mfumo umegoma kabisa upande wa uhamisho.
IMG_6306.jpg
 
Back
Top Bottom