Musiba anapaswa kumuomba msamaha Membe

Musiba anapaswa kumuomba msamaha Membe

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,640
I think I am able to decipher what the problem is. Huyu Musiba nadhani dark past, something bad has happenned in his life, kwake personally au kwa watu walio karibu naye. Nadhani ndicho wanachoita Wazungu skeletons in the closet.

Inaonekana kuna mambo ya aibu yametokea yake, sasa kwa hasira anawatafuta wengine waliofanya makosa ile kuwachafua majina yao.

Sasa, this is a late hour. Siwezi kuandika sana. Lakini nadhani unanielewa ninachosema.

Kwa hiyo Musiba aombe msamaha, aende na mke wake, ndugu, rafiki zake, wamuombe msamaha Membe.
Musiba ana matatizo ya binafsi. Nadhani he is doing the right things for the wrong reasons.

Ndio kawaida siku zote; yule mtu ambaye alikuwa mlevi, ndio anakuwa mstari wa mbele kuhubiri dhidi ya ulevi.

Ama sivyo sasa Membe will be guilty of having extreme views and extreme behaviour.
Opo passage katika Biblia inasema,"If you take a widow's raiment to pledge,you must return to her at nightfall,otherwise how will she sleep?" Ile verse sijui iko wapi: Leviticus au Deutoronomy.
 
... tubu dhambi; ungama dhambi; omba msamaha wa makosa yako ungali na pumzi! Baada ya hukumu nafasi hiyo haipo tena; ni utekelezaji tu.
 
I think I am able to decipher what the problem is. Huyu Musiba nadhani dark past,something bad has happenned in his life,kwake personally au kwa watu walio karibu naye. Nadhani ndicho wanachoita Wazungu skeletons in the closet.
Inaonekana kuna mambo ya aibu yametokea yake,sasa kwa hasira anawatafuta wengine waliofanya makosa ile kuwachafua majina yao.
Sasa,this is a late hour. Siwezi kuandika sana. Lakini nadhani unanielewa ninachosema.
Kwa hiyo Musiba aombe msamaha:aende na mke wake,ndugu,rafiki zake,wamuombe msamaha Membe.
Musiba ana matatizo ya binafsi .Nadhani he is doing the right things for the wrong reasons.
Ndio kawaida siku zote;yule mtu ambaye alikuwa mlevi,ndio anakuwa mstari wa mbele kuhubiri dhidi ya ulevi.
Ama sivyo sasa Membe will be guilty of having extreme views.
Opo passage katika Biblia inasema,"If you take a widow's raiment to pledge,you must return to her at nightfall,otherwise how will she sleep?" Ile verse sijui iko wapi: Leviticus au Deutoronomy.
Too late, Membe kamua twende baba
 
I think I am able to decipher what the problem is. Huyu Musiba nadhani dark past, something bad has happenned in his life, kwake personally au kwa watu walio karibu naye. Nadhani ndicho wanachoita Wazungu skeletons in the closet.

Inaonekana kuna mambo ya aibu yametokea yake, sasa kwa hasira anawatafuta wengine waliofanya makosa ile kuwachafua majina yao.

Sasa, this is a late hour. Siwezi kuandika sana. Lakini nadhani unanielewa ninachosema.

Kwa hiyo Musiba aombe msamaha, aende na mke wake, ndugu, rafiki zake, wamuombe msamaha Membe.
Musiba ana matatizo ya binafsi. Nadhani he is doing the right things for the wrong reasons.

Ndio kawaida siku zote; yule mtu ambaye alikuwa mlevi, ndio anakuwa mstari wa mbele kuhubiri dhidi ya ulevi.

Ama sivyo sasa Membe will be guilty of having extreme views and extreme behaviour.
Opo passage katika Biblia inasema,"If you take a widow's raiment to pledge,you must return to her at nightfall,otherwise how will she sleep?" Ile verse sijui iko wapi: Leviticus au Deutoronomy.
Why do you waste your time to advise an imbecile? Haya majitu yalikuwa yanaamini Magufuli ni mungu wao na hatataoka madarakani
 
Kwa hali kama hii kweli kuna msamaha hapo?
 
Hapa siyo mahali p kuomba msamaha. Ataomba kwakiasi cha deni kuzidi thamani ya mali zake ili kuepuka kufungwa kama Civil Prisoner.
 
I think I am able to decipher what the problem is. Huyu Musiba nadhani dark past, something bad has happenned in his life, kwake personally au kwa watu walio karibu naye. Nadhani ndicho wanachoita Wazungu skeletons in the closet.

Inaonekana kuna mambo ya aibu yametokea yake, sasa kwa hasira anawatafuta wengine waliofanya makosa ile kuwachafua majina yao.

Sasa, this is a late hour. Siwezi kuandika sana. Lakini nadhani unanielewa ninachosema.

Kwa hiyo Musiba aombe msamaha, aende na mke wake, ndugu, rafiki zake, wamuombe msamaha Membe.
Musiba ana matatizo ya binafsi. Nadhani he is doing the right things for the wrong reasons.

Ndio kawaida siku zote; yule mtu ambaye alikuwa mlevi, ndio anakuwa mstari wa mbele kuhubiri dhidi ya ulevi.

Ama sivyo sasa Membe will be guilty of having extreme views and extreme behaviour.
Opo passage katika Biblia inasema,"If you take a widow's raiment to pledge,you must return to her at nightfall,otherwise how will she sleep?" Ile verse sijui iko wapi: Leviticus au Deutoronomy.
Mbona umejikita sana katika kumuonea Musiba huruma? Watanzania tuna tatizo moja kubwa: kusahau mara moja makosa ya wadhalimu wetu na kuwasamehe.

We have the culture of impunity which we think is kindness, but kindness to those who hurt us the most?! This is the ignorance we’ve been fighting along with poverty and disease, let’s stop this!

Yupo wapi mwenzake Musiba waliokuwa wakitamba na kutesa watu, yule kijana katili Sabaya? Si ameachiwa hivi hivi wakati uovu wake unajulikana hata na watoto wadogo? Here’s where we fail Tanzania, compromising everything.

Musiba kama sio kifo cha Magufuli kimemfanya aache ufedhuli wake leo hii angekuwa anakula watu! Musiba ameumiza wengi sio Membe tu!

I am sure hiyo mali unayomwenea nayo huruma huyo fedhuli ameipata kinyemela wakati akiwa chawa wa dikteta Magufuli. Embu tuache ujinga wa kuwaonea huruma wezi!
 
Kwani mpo dunia gani?Msamaha gani mnaotaka aombe wakati alikataa mara tatu kuomba msamaha?Kwani hamkumuona akikataa kuomba radhi? Huyu abebe hukumu ya mahakama kwa upendo na ukarimu mkubwa.
 
I think I am able to decipher what the problem is. Huyu Musiba nadhani dark past, something bad has happenned in his life, kwake personally au kwa watu walio karibu naye. Nadhani ndicho wanachoita Wazungu skeletons in the closet.

raiment to pledge,you must return to her at nightfall,otherwise how will she sleep?" Ile verse sijui iko wapi: Leviticus au Deutoronomy.
Musiba must pay for what he did to Membe, he had laughed last at his time, so now he must laugh best.
 
Analeta kiburi cha kijita anadhani jiwe bado yu hai? Swala hili ni kama membe anawakilisha wazee wengine walio umizwa na ulimi mchafu wa musiba. Na anabaraka zote ili kutia adabu wapumbavu wengine
 
I think I am able to decipher what the problem is. Huyu Musiba nadhani dark past, something bad has happenned in his life, kwake personally au kwa watu walio karibu naye. Nadhani ndicho wanachoita Wazungu skeletons in the closet.

Inaonekana kuna mambo ya aibu yametokea yake, sasa kwa hasira anawatafuta wengine waliofanya makosa ile kuwachafua majina yao.

Sasa, this is a late hour. Siwezi kuandika sana. Lakini nadhani unanielewa ninachosema.

Kwa hiyo Musiba aombe msamaha, aende na mke wake, ndugu, rafiki zake, wamuombe msamaha Membe.
Musiba ana matatizo ya binafsi. Nadhani he is doing the right things for the wrong reasons.

Ndio kawaida siku zote; yule mtu ambaye alikuwa mlevi, ndio anakuwa mstari wa mbele kuhubiri dhidi ya ulevi.

Ama sivyo sasa Membe will be guilty of having extreme views and extreme behaviour.
Opo passage katika Biblia inasema,"If you take a widow's raiment to pledge,you must return to her at nightfall,otherwise how will she sleep?" Ile verse sijui iko wapi: Leviticus au Deutoronomy.
1.
Nimejifunza mengi mazuri hapa JF ikiwemo how to unmusk Romans.

2.
Hizi pen names zetu zimeshindwa kuficha uhalisi wetu kupitia multiple IDs

3.
Sijawahi kuona binadamu aliyewahi kushinda vita kati yake na saikolojia yake. Siku zote saikolojia inashinda.

Mkuu.
Musiba siyo mtoto wa kuelekezwa kila kitu. Apambane na facts za maisha aliyojijengea
 
Back
Top Bottom