That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,188
- 3,599
Remmy Ongala - Niseme nini 🎶
Sijaangalia , nashukuru kwa taarifaMtako mbaya, au unaonaje wewe firstborn?
😀😀 kama ndiyo hilo chura analotaka Behaviourist aargh basi tena mimi silitaki kabisaa. Na sina wivu😀Ni wivu tu 🤣🤣🤣...ni wivu tu🤣🤣🤣!!!
Ukiskia chura anaeuliziwaga na Behaviourist basi ndiye huyo
Hata usiangalie firstborn, halifai😀Sijaangalia , nashukuru kwa taarifa
Kiukweli hiyo Boeing hapana, bora vits😀Hutaki Boeing unataka Passo
Hahahah wivu hauwezi kosekana😂 we chura unae mbona tena wa kijapani sema unajishtukia tu bebe! Ila anatosha kukuondolea aibu😀😀 kama ndiyo hilo chura analotaka Behaviourist aargh basi tena mimi silitaki kabisaa. Na sina wivu😀
Upendo haubagui wala hauchagui, mtu hupendwa kwa moyo na si kwa alivyo navyo au anavyomilikiKiukweli hiyo Boeing hapana, bora vits😀
Wewe mkuu unapenda mwenye huo mboeing kwani?😜
Mambo ni motoooo😅Itafika muda baadhi ya wanaume tutatembea uchi ili tu tuonwe maumbile yetu yalivyo makubwa.
Kuna video Ina trend hivi sasa ikimuonyeeha dada mmoja akililia penzi la Harmonize.
Hi imekuja baada ya siku kadhaa nyuma kulipovuja mtandaoni video zikiuonyesha Mushobozi wa Taifa unaomilikiwa na Harmonize.
Dada amesemaa Yuko tayari kwa lolote lakini sharti ampate Konde Boy.
View attachment 1765167
Nadhani anaonyesha kuwa ana mgongo mkubwa kuweza kumbeba tembo bila mbelekoSasa mbona anaonyesha mgongo wake Mkuu? 😜
Nadhani anaonyesha kuwa ana mgongo mkubwa kuweza kumbeba tembo bila mbeleko
Ile sura si umeona ilivyo chachu? Inatimua wawekezaji, ila nyuma kunalipa😂Hahahahaha mugongo kwa mugongo 😜
sawa ila sasa kiubinadamu kuna yale matamanio ya nje ,kuna wanaopendea rangi, umbo at the first sight maana moyo uko ndani huko ni mpaka umzoee huyo mpendwa🤷♂️Upendo haubagui wala hauchagui, mtu hupendwa kwa moyo na si kwa alivyo navyo au anavyomiliki
Aiseeee Hadi kuzimia
Hatari hatarishiAiseeee Hadi kuzimia
Nimepata taarifa kuwa nikipigwa ban huwa unaposti United kingdom figure kule selfika!😀😀 kama ndiyo hilo chura analotaka Behaviourist aargh basi tena mimi silitaki kabisaa. Na sina wivu😀
Hah hah haha neema za AllahZigo kama hili ni marufuku kulila kifo cha mende,doggy style ndo haki yake!..by the way hv kuna wanaume hawapendi mizigo/wowowo?...kama wapo basi wanakosa uhondo sana!
Kwamba nakuogopa hadi nisubiri upigwe ban ?,ndiyo niposti aargh sikuogopi bana wewe afu ile siyo english figa unikome😀😀Nimepata taarifa kuwa nikipigwa ban huwa unaposti United kingdom figure kule selfika!