Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
“Tumeamua kufunga mipaka yote kwa sasa baada ya mgonjwa wa kwanza wa corona kubainika, iwe ni usafiri wa anga,majini au ardhini baki hukohuko kwenu, hatumkomoi Mtu ila tunajikinga, ndege zote kutoka nje zisitue kwenye Airport yoyote Uganda, baadae leoleo nitatoa matamko zaidi mbele ya Wanahabari”- Rais Museveni wa Uganda
.
Sasa tumezungukwa na sisi ndiyo hatujafunga mipaka yetu.
In God we Trust
.
Sasa tumezungukwa na sisi ndiyo hatujafunga mipaka yetu.
In God we Trust