#COVID19 Museveni: Tumeamua kufunga mipaka yote kwa sasa baada ya mgonjwa wa kwanza wa corona kubainika

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
“Tumeamua kufunga mipaka yote kwa sasa baada ya mgonjwa wa kwanza wa corona kubainika, iwe ni usafiri wa anga,majini au ardhini baki hukohuko kwenu, hatumkomoi Mtu ila tunajikinga, ndege zote kutoka nje zisitue kwenye Airport yoyote Uganda, baadae leoleo nitatoa matamko zaidi mbele ya Wanahabari”- Rais Museveni wa Uganda
.
Sasa tumezungukwa na sisi ndiyo hatujafunga mipaka yetu.
FB_IMG_1584876383902.jpeg


In God we Trust
 
Back
Top Bottom