Museveni kuwania tena urais 2026

Museveni kuwania tena urais 2026

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
AP240404259823.jpg

Chama cha National Resistance Movement (NRM) cha Uganda, kimesema Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni atachukua fomu za kutetea nafasi yake kwa muhula mwingine wa miaka mitano katika uchaguzi unaotarajiwa mapema mwaka ujao 2026.

Kama atachaguliwa, Museveni ataongeza utawala wake wa takriban miongo minne, kulingana na afisa mkuu kutoka chama tawala.

Ingawa alitarajiwa kugombea tena wadhifa huo, ni uthibitisho wa kwanza kutoka kwa chama chake cha

Uganda itafanya uchaguzi wake mkuu Januari 2026 ambapo wapiga kura pia watawachagua wabunge.

Museveni, 80, amekuwa madarakani tangu 1986 na ni kiongozi wa nne barani Afrika aliyeongoza kwa muda mrefu zaidi. Chama tawala kimebadilisha katiba mara mbili huko nyuma ili kumruhusu kuongeza muda wa utawala wake.

Taarifa iliyochapishwa kwenye ukurasa rasmi wa chama cha NRM, imesema Museveni atachukua fomu katika ofisi za Tume ya uchaguzi za chama hicho Jumamosi Juni 28, 2025 ili kutetea uenyekiti wa chama hicho na kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwakani.

GuIaYT5WwAAE0pZ.jpg

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya NRM, Tanga Odoi akizunguza na waandishi wa habari leo Juni 24 jijini Kampala.
BBC
 
View attachment 3381324
Chama cha National Resistance Movement (NRM) cha Uganda, kimesema Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni atachukua fomu za kutetea nafasi yake kwa muhula mwingine wa miaka mitano katika uchaguzi unaotarajiwa mapema mwaka ujao 2026.

Kama atachaguliwa, Museveni ataongeza utawala wake wa takriban miongo minne, kulingana na afisa mkuu kutoka chama tawala.

Ingawa alitarajiwa kugombea tena wadhifa huo, ni uthibitisho wa kwanza kutoka kwa chama chake cha

Uganda itafanya uchaguzi wake mkuu Januari 2026 ambapo wapiga kura pia watawachagua wabunge.

Museveni, 80, amekuwa madarakani tangu 1986 na ni kiongozi wa nne barani Afrika aliyeongoza kwa muda mrefu zaidi. Chama tawala kimebadilisha katiba mara mbili huko nyuma ili kumruhusu kuongeza muda wa utawala wake.

Taarifa iliyochapishwa kwenye ukurasa rasmi wa chama cha NRM, imesema Museveni atachukua fomu katika ofisi za Tume ya uchaguzi za chama hicho Jumamosi Juni 28, 2025 ili kutetea uenyekiti wa chama hicho na kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwakani.

View attachment 3381323
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya NRM, Tanga Odoi akizunguza na waandishi wa habari leo Juni 24 jijini Kampala.
BBC
Duuh huyu mwamba hachoki tu kukaa madarakani
 
Duh!! Uganda hakuna wengine wenye sifa za kuwa rais?
 
Wa kumrithisha N'gombe wake kashampata wa kumrithisha Urais wake bado haja mpata.. Means anaamua yeye nani ampokee kiti..
 
Bado kaenurugamba nakwambia waganda watafika wako hoi wamechoka sana
 
Mwenyewe anajiita cotter pin

Si mnajuwa shuguli ya kuitoa cotter pin kwenye baiskeli

Ova
 
Baadhi ya nchi za Kiafrica, zinapotezaga tu pesa za uchaguzi; we unajua kabisa, fulani hata akishinda, tume haitamtangaza, sasa si bora muachane tu na mambo ya "kuchaguana" ili kuokoa fedha zinazo potezwa unnecessary? Tangazeni tu mfumo wa kifalme/kimalkia ieleweke moja kuliko kuendeleza chafuzi zetu
 
View attachment 3381324
Chama cha National Resistance Movement (NRM) cha Uganda, kimesema Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni atachukua fomu za kutetea nafasi yake kwa muhula mwingine wa miaka mitano katika uchaguzi unaotarajiwa mapema mwaka ujao 2026.

Kama atachaguliwa, Museveni ataongeza utawala wake wa takriban miongo minne, kulingana na afisa mkuu kutoka chama tawala.

Ingawa alitarajiwa kugombea tena wadhifa huo, ni uthibitisho wa kwanza kutoka kwa chama chake cha

Uganda itafanya uchaguzi wake mkuu Januari 2026 ambapo wapiga kura pia watawachagua wabunge.

Museveni, 80, amekuwa madarakani tangu 1986 na ni kiongozi wa nne barani Afrika aliyeongoza kwa muda mrefu zaidi. Chama tawala kimebadilisha katiba mara mbili huko nyuma ili kumruhusu kuongeza muda wa utawala wake.

Taarifa iliyochapishwa kwenye ukurasa rasmi wa chama cha NRM, imesema Museveni atachukua fomu katika ofisi za Tume ya uchaguzi za chama hicho Jumamosi Juni 28, 2025 ili kutetea uenyekiti wa chama hicho na kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwakani.

View attachment 3381323
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya NRM, Tanga Odoi akizunguza na waandishi wa habari leo Juni 24 jijini Kampala.
BBC
Life president...
 
Back
Top Bottom