kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,002
- 9,091
Sawa kwani huwa tunanufaika niniView attachment 864072Ninachokiongelea ni hii pipe ujenzi wake utakoma au utahamishiwa Kenya mkuu!!for god's sake!
Sawa kwani huwa tunanufaika niniView attachment 864072Ninachokiongelea ni hii pipe ujenzi wake utakoma au utahamishiwa Kenya mkuu!!for god's sake!
We jamaaMods mnamwacha huyu mpumbavu analeta Uzi wa kijinga hapa?kwa hiyo unataka Tanzania ipeleke jeshi kuua raia wanaodai haki zao? jinga kweli wewe boya,nguvu ya umma inazidi jeshi la nyuklia,museveni ataondoka kisha atafuatia Dikteta Magufuli.
Hebu ficha upuuz wako basi....halafu mleta mada ni mwongo na mnafiki hakuna kitu kama hicho hapa uganda kwa siku hii ya leo, msichukue clip za nyuma na kuzitafutia cha kuandika jinga kabisa wewe, aminini watanzania wenzangu nawaambia akitoka museveni madarakani hii uganda yatatokea machafuko ambayo hayawahi kutokea toka imezaliwa
YAANI BORA YA IDD AMIN, MUSEVEN NI HATARI SANA!!!!Nduli Museven aondolewe kabisa katika uso wa dunia
Acha ushogaView attachment 863897
Vijana wetu tuwasogeze mtukula ili wawe tayari Kutoa msaada wa kiulinzi dhidi ya choko choko za Kenya.
kama ametimka kweli, kurejea inaweza kuwa ngumuMuseveni aahirisha kuongea na taifa atimkia China kuomba msaada.
waende harakaKuna habari kutoka Kongo na Burundi kuwa Wahutu wenye msimamo mkali wanajia ndaa kwenda kusaidia kumg'oa Museveni kwa kile wanachosema mseveni ndio anaewasaidia watutsi wenye msimamo mkali.
halina thamani ya uhai wa binadamu, leo nimegundua ninyi na jiwe lenu hamna utu kabisaMseveni akiondoka hilo bomba la mafuta?!hebu fikiria ndugu.
Hii inaumiza kuliko hata kunaswa kibao.Ndugu wala hujielewi mimi naandika utumbo lakini wewe ndio utumbo wenyewe,avatar ni sawasawa uvae nguo za unesi halafu ufanye kazi ya mgambo wa jiji.
Hayatuhusu hata wakiling'oa Leo.View attachment 864072Ninachokiongelea ni hii pipe ujenzi wake utakoma au utahamishiwa Kenya mkuu!!for god's sake!
Na ukiwajua utafanya Nini. Aondoke aende zake huko. Tangu nipo darasa la Kwanza ni Museven mpaka leo Nina wajukuu. Hiyo nchi haina watu wengine ?????Suspect namba moja ni Kenya ila kuna wengine ambao watajulikana tu ndani 48hrs.
Itatulia tu hawajaanza leo hawa watu, alafu kuna waganda wengi wana pesa yao hawata kubali huu upuuzi!Kuna baadhi ni ya jana juzi wiki moja hadi mwezi ila lengo liko palepale hali ya uganda sio nzuri ISIS