kinacholengwa kivipi hebu fafanuaKisima cha mafuta cha Hoima ndicho kinacholengwa.View attachment 864081
monitor zimezimw kwa muda cocochannel anarekebisha kitu fulaniIsis ingia kwenye Monitor
Huyu ndio rais wao wa milele, piga ua, garagaza walahi!View attachment 864061
Museveni akipigana bega kwa bega na majeshi yetu katika harakati za kuikomboa uganda.
HahahahaKijana kuna nchi ambayo haina rais nenda kaishi huko.
OkIsis ingia kwenye Monitor
Naelewa kuwa bomba linaumuhim kwetu yes.. but is that sababu ya kumtetea museveni kubaki madarakani?View attachment 864072Ninachokiongelea ni hii pipe ujenzi wake utakoma au utahamishiwa Kenya mkuu!!for god's sake!
milele? au sijui maana ya milele.Huyu ndio rais wao wa milele, piga ua, garagaza walahi!
Zionist huyu hamwezi walahi!
Kenya Alshababu watawalipua walahi!View attachment 864072Ninachokiongelea ni hii pipe ujenzi wake utakoma au utahamishiwa Kenya mkuu!!for god's sake!
Tafuta Maana ya Zionist!milele? au sijui maana ya milele.
ananguvu kumzidi qadafi ananguvu kumzidi aliyepigwa kitanzi yule wa Iraq?
Hahahahakamsaidie ww sisi tupo tunabet hapa! ....
PESA KWANZA WALAHINaelewa kuwa bomba linaumuhim kwetu yes.. but is that sababu ya kumtetea museveni kubaki madarakani?
Is that sababu ya kuawaacha raia wa uganda wazid kugandamizwa na serikali iliyopo all in the name of bomba la mafuta?
Okay so unasema kenya wanahusika na chokochoko hizi? How shure are you na nn source ya information zako?
Hayo mavideo nilisha yaona one month ago walahiSuspect namba moja ni Kenya ila kuna wengine ambao watajulikana tu ndani 48hrs.