kamikaze
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 422
- 610
Wana jf naomba muongozo na ushauri wa kuanzisha biashara ya vitabu, vitabu hivi ni vile vya masomo
vinavyotumiwa na vyuo vikuu na taasisi nyingine za elimu ya juu, naomba ushauri kwenye:
vinavyotumiwa na vyuo vikuu na taasisi nyingine za elimu ya juu, naomba ushauri kwenye:
- Mtaji
- Jinsi ya kuagiza kutoka publishers mbalimbali.
- Vibali husika vya biashara
- Kodi za bandarini na tra kwa ujumla.