Muongozo wa kozi ya kuchagua kwa undergraduate mwaka wa masomo (2017/2018)

Watch out... Kama unataka kusoma diploma ya irrigation pale chuo cha maji ni bora ukasoma kozi ya water supply and sanitation eng iko wide sana compare to irrigation
Hapo naona kuna utofauti huwa kuna kozi za kawaida na kuna special kozi ,water supply and sanitation ni kozi ya kawaida ila irrigation ni special course hata wizara ikitangaza ajira za kilimo watu wa irrigation wanakua na kipengele chao wenyewe .
Ni sawa na general agriculture na horticulture.
Wa special course una soma vichache ila deep sana hivyo unakua fit na huwezi wakuta mtaani ukitoka chuo ajira nnje nnje private na serikalini (wakitangaza) ila wa kozi za kawaida wao wanasoma kila kitu juu juu kazini inakua shida .
 
Nataka kusoma diploma nyingine kwa course ya afya mkuu

Inawezekana maana hautatumia diploma ya civil engineering kama kigezo cha kuingia diploma ya afya. Hapa cheti chako cha kidato cha nne ndio ama kitakupeleka huko au kukukwamisha kulingana na yaliyomo humo chetini. Kama una ufaulu katika masomo ya sayansi, omba chuo pale uombaji utakapofunguliwa na inshaallah mambo yatakua sawa
 
Inawezekana maana hautatumia diploma ya civil engineering kama kigezo cha kuingia diploma ya afya. Hapa cheti chako cha kidato cha nne ndio ama kitakupeleka huko au kukukwamisha kulingana na yaliyomo humo chetini. Kama una ufaulu katika masomo ya sayansi, omba chuo pale uombaji utakapofunguliwa na inshaallah mambo yatakua sawa
Asante mkuu ila hujaniambia facult gani nzuri ya afya kwa diploma nikiwa nina C ya chem, C biology na D phyics o level
 
Wakuu Anae kufahamu Chuo cha lugalo military medical training na kibaha clinical officer training .nataka kujua kama wana vaa uniform au vyovyote pia Ni lazima kukaa Chuoni au Unawezaa kukaa nje ya chuo
 
Frankly and honestly speaking, jibu ni NO.
Hesabu ni muhimu sana kwa kozi hiyo uliyoitaja, na ndio maana mara nyingi huwa wanachukua watu wa EGM, sasa kwa wewe ambaye mathematics una F itakua ngumu mno kuchaguliwa. Kumbuka kwamba hiyo kozi inatolewa na chuo kimoja tu kwa sasa (kama sikosei) ambacho ni ARDHI UNIVERSITY, hii itapelekea wewe kushindwa kufurukuta mbele ya waombaji wengine hasa wa EGM, PCM na wengineo mtakapokua mkiwania nafasi chache kwenye chuo hicho kimoja tu.

Anza kufikiria maisha bila LAND MANAGEMENT AND EVALUATION kama hautojali.
So facult fan inamata japo nilipenda law enforcement mkuu
 
Yan umelenga mule mule nilipokuwa nafikilia basi kumbe yawezekna maono yngu yatakua na tija nimeitimu diploma in general agriculture last year mwaka huu nilikua nataka nirudi chuo kuchukua Agricultural economic & agribusiness na nimeona imepewa priority apo katka uzi wako hii ni motivation kwangw
HV hyo unaweza soma kma umefaul geo advanc frm CBG
 
Lengo kubwa la Uzi huu ni kuunganisha wote wanaotarajiwa kuingia chuoni so kupitia Uzi Ntatoa Experience yang tukishare pamoja na NDUGU zetu wengine kufahamu Hali halisi ya kozi mbalimbali na career Zake kwa Tanzania
Nataka nikasomee maswala ya utawala inakuaje hapo?
 
Mkuu,hebu tuwekee ushahidi wa O level requirements kutoka kwenye guide book ili na sisi tuupdate uelewa wetu

Lakini pia kwenye CBG na Pharmacy nijuavyo kila chuo na requirements zake:Mfano MUHAS ,CUHAS wao wanataka PCB ilihali SJUT wanataka just Chemistry and Biology ambapo hata mtu mwenye CBG anazo

Karibu
Ulichokosea ni kusema udahili unaangalia form six tu kitu ambacho si kweli
kuna course ambazo zinakuwa na requirments za olevel
mfano unataka kusoma Chemical and proccesing engineering then umesoma PGM unatakiwa uwe na Credit ya Chemistry O-level
 
Mimi nna diploma ya civil engineering, nataka kuhamia afya course gani ambayo haitanichelewesha kwenye upatikanaji wa ajira?
Niko interested nakujua kwanini umefikia maamuzi hayo?

Diploma nzuri za afya kuna
optometry
diagnostic radiography
clinical medicine
 
Back
Top Bottom