Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,778
- 1,119
Malipo ni hapa hapa duniani, hayo aliyoyapitia Lissu ni hayo malipo yanayosemwa! Ninyi kwani anayelipwa mnamjua? Lissu kalipwa!Mungu alimponya na risasi zenu ili aje kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania hapo October 2020
Mtakamatwa na polisi kwa kuandamana bila kibali
Apokelewe kutoka wapi?
Ashuke tu!Amesema atashukia airport dar
Hii Tabia ya kuwasemea watanzania ikome!
Hii Tabia ya kuwahusisha watanzania na Mambo ya kihuni na muhuni wenu mkome!
Lisu ni na Nani nchi hii?
Inawezekana wajuba Wamemuondoa Ben ili kuhamisha attention ya Lisu kwa wabongo ?Amani iwe nanyi wadau wote!
Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.
Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.
Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.
Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.
Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kifo cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.
Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.
Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.
Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.
No Hate No Fear
Kichaaa weweUSIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Wajuba sio watu wazuriTuko pamoja mkuu.... Ila nadhani huu msiba umetengenezwa na ccm ili kuvuruga mapokezi muhimu sana ya mh Tundu LISSU......
Ccm chama na serikali yake ya kishetani hawashindwi
Shida ni kwamba Lissu tu ni attention tosha , huwezi kumuondoa mioyoni au masikioni mwa watanzaniaInawezekana wajuba Wamemuondoa Ben ili kuhamisha attention ya Lisu kwa wabongo ?
Uko sahihi kabisa , sasa hapo tatizo ni Lisu kukosa uwezo au ni kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi? Kama umesema ashiriki baada ya hiyo miaka mitano, je hiyo tume huru itakuwepo?
Hana uwezo wa kushinda.
Arudi kwenye ubunge.
Wakati upinzani ukiangahaika na tume HURU mahakamani.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kwani Jumatatu siyo siku ya kazi?Amani iwe nanyi wadau wote!
Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.
Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.
Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.
Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.
Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kifo cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.
Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.
Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.
Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.
No Hate No Fear
Wee sio mtanzania kwnn unapinga asitusemee ?? Weee nani nchi hiiHii Tabia ya kuwasemea watanzania ikome!
Hii Tabia ya kuwahusisha watanzania na Mambo ya kihuni na muhuni wenu mkome!
Lisu ni na Nani nchi hii?
Kumbe siku hizi Kimara kuna mtaa unaitwa Ruvuma??Niko Ruvuma ila jumapili naingia Dar kwa ajili ya kumpokea Tundu Lissu hapo Dar es Salaam
Naingia kesho bwashee kutoka Ruvuma.Tukutane jumatatu kumpokea shujaa wetu. Nikiwa Dar nitakuwepo hapo MagomeniKumbe siku hizi Kimara kuna mtaa unaitwa Ruvuma??
Kuna kaukweli hapoTuko pamoja mkuu.... Ila nadhani huu msiba umetengenezwa na ccm ili kuvuruga mapokezi muhimu sana ya mh Tundu LISSU......
Ccm chama na serikali yake ya kishetani hawashindwi
Siku zote ni siku za kazi na hata kumpokea Lisse watu watatoka makazini kwenda kumpokeaKwani Jumatatu siyo siku ya kazi?
Hakuna malipo hapo, ni agizo la kishetani kutoka kwa kiongozi wa juu wa nchi alipoamuru Tundu Lissu achapwe risasi mchana kweupe tena kwa kutumia SILAHA ZA KIVITA. Mungu fundi, atalipwa tu kwa huo UHALIFU wake.Malipo ni hapa hapa duniani, hayo aliyoyapitia Lissu ni hayo malipo yanayosemwa! Ninyi kwani anayelipwa mnamjua? Lissu kalipwa!