Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Alikuwa wapi kwa kipindi chote hicho... Nani kamtuma kuja kugombea uraisi,,, kwa nn hajagombea ubunge.
 
Mapokezi ni ya amani kama tu ilivyokuwa kwenye mapokezi ya Hussein Mwinyi kule UNGUJA na Pemba bwashee. Hakuna haja ya kubeba maji na vitambaa . Tuaenda kufanya kama wana CCM walivyomfanyia Hussein Mwinyi kule Zanzibar

Sawa ila Mimi nitabeba kabisa Maji yangu ya Kuoshea Uso wangu, nitavaa Raba Nyepesi na kuhakikisha Vichochoro vyote Muhimu viko Kichwani.
 
Queen Esther
Naomba ushuhudie iyo jumatatu kama ni maandamano ya mtandaoni au la!!!

Tunampokea kishujaa mtu wa Mungu Tundu Antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu mkapa.

Na mwisho hapo October 2020 yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania. Usiyempenda Tundu Antipas Lissu anaenda kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania
 
Sawa ila Mimi nitabeba kabisa Maji yangu ya Kuoshea Uso wangu, nitavaa Raba Nyepesi na kuhakikisha Vichochoro vyote Muhimu viko Kichwani.
Sawasawa ila watanzania na wanachadema tunampokea kwa amani bila vurugu zozote.
 
USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO

Naona unasaka mabasha kinguvu hapa jukwaani, sio kila mtu anataka hiyo huduma dogo.
 
Sawasawa ila watanzania na wanachadema tunampokea kwa amani bila vurugu zozote.

Nimesikia mahala japo ni Tetesi kuwa kuna uwezekano mkubwa Anga la Tanzania Siku hiyo likafungwa kwakuwa tunapulizia Dawa ya COVID-19.
 
Nimesikia mahala japo ni Tetesi kuwa kuna uwezekano mkubwa Anga la Tanzania Siku hiyo likafungwa kwakuwa tunapulizia Dawa ya COVID-19.
Hahaha Genta Kama Genta. Ndege anayokuja nayo inakuja na watalii 100
 
Tungeomba a cancell flight tumuomboleze na kumhifadhi mpendwa wetu kwanza maana msiba ni Jambo la ghafla tukishamaliza kulia then ndo tusherekee ujio wa mshinda mauti mbeba maono.
Mwaka huu mwenge haujakimbizwa ishukurikiwe corona zindiko limekiukwa chochote chaweza tokea,kupigwa spana kwa wahamiaji, kuondoka kwa mwamba wa siasa za ccm dhahiri Mungu amesikia kilio cha wengi.( Unabii ).
 
Hahaha Genta Kama Genta. Ndege anayokuja nayo inakuja na watalii 100

Nasikia Tetesi kuwa Ndege zote ziwe za Watalii au za Mizigo hazitaruhusiwa Kutua nchini kwani Ndege za ' Wajeda ' zitatawala Anga tu Siku hiyo.
 
USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Mbona juzi mliwasomba watu kutoka unguja na Tanganyika,kwenda Pemba kumpokea mgombea wenu ili wapemba wamfahamu.
 
Wafuasi wa Lisu na akili imejaa matope!
Hahaaa..... Mkuu km ulikua hujui basi jua leo kua haya mashetani maccm hayashindwi.......
Lkn km ww ni wale wasiofikiri nje ya box basi endelea kubeza......
 
Mbona juzi mliwasomba watu kutoka unguja na Tanganyika,kwenda Pemba kumpokea mgombea wenu ili wapemba wamfahamu.
Wamefeli sn ng'ombe hawa....... Mshenzi Mwingine eti anamtumbua mkandarasi kwa kutokukusanya wananchi....... PATHETIC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…