Tatizo watanzania wanaotaka kumilikishwa vitalu uwezo wao ni mdogo na hata utaalam wa hiyo gesi hawana.nia yao kubwa ni udalali tu,akipewa naye amwite mchina avute chake then akae pembeni!
Utalaamu wataupata hukohuko, kwani unashukaga kutoka mbinguni? Achamasihala wewe!! Nyie ndo wale mnaosomea tumbo, mtu yuko educated but your way of thinking has no difference na mwendesha mkokoteni.