Tembelea kyakailabwa inakojengwa mpya nako upige picha ulete waone siyo kuleta tupicha twa zamani kwa ajiri ya masrahi yako binafsi, hamuchoki kutwa kuchonga stori za maji taka?Bukoba wanatakiwa kujenga stand nzuri itakayo kidhi mahitaji yao na kuondoa kero kwa wasafiri wanaotumia stand hiyo.
Usijitete bwana rekebisheni hiyo stand ili iwe ya kisasa.....Wewe bwana utakuwa na ajenda zile zile kama ilivyo kawaida. Naomba uniambie hapa Bukoba uko sehemu gani kama kweli uko Bukoba nije nikusalimie.
Yaani umekutana na kapicha ka mwaka 2016 ukaona ukaweke hapa ili utafute wa kukuunga mkono, hii picha ni ya miaka miwili iliyopita na kusema ukweli wala kwa jana na leo hauko hapa Bukoba.
Bukoba hsiko hivyo na hata hiyo barabara wala haiko hivyo. Nikuulize tu, mvua imenyesha lini wiki hii hadi kukawa na hayo mashimo?
Jibu mapigo kwa kupiga hiyo inayojengwa mpya utuletee hapa....tunakusubiri wala usije kunisalimu wewe nende kapige hiyo picha utuwekee hapa.Tembelea kyakailabwa inakojengwa mpya nako upige picha ulete waone siyo kuleta tupicha twa zamani kwa ajiri ya masrahi yako binafsi, hamuchoki kutwa kuchonga stori za maji taka?
Iwe bojoooooSisi tunatumia ndege hio ni kwa ajili ya wageni aka wakuja!
Hahah iweeeee bojooooWanatumia ndege so hapo hapawahusu.
Mkuu unataka kuwapa silaha Wachaga? Usifukue makaburi tafadhali.Nadhani kulikuwa na thread inayopambanisha mkoa wa Kilimanjaro na kagera kama sikosei
Acha utani Tz nzima hakuna kama Msamvu moronimeona stand ya singida ile mpya aise ni ya kimataifa ile stand, nadhan itakua inaonngoza kwa hapa bongo
Sasa huu ubishi wa lazima kw Tz hakuna kama msamvuTrue hata moro haionI ndani pale singida.
Mwambie mkuu nilifika msamvu sikuamini kama ni tzHakuna stand nzuri kama msamvu hapa bongo
Ooooh Karibu kigango cha gungu keshoKaribu Jimboni... Lumumba Street
duuuuhh CCM mbele kwa mbele "" huko ndio kwao na nyamisifa" wahaya "?
hahaahaKituo cha basi ni kwa ajili ya wafanyakazi wa ndani
Sisi huwa tugenda na flight
Asante kwa mualiko mkuuOoooh Karibu kigango cha gungu kesho
hahaha hata mimi nimezionaMbona naona wameanza kuweka tiles.za brown hapo
kaisikii ni kenda munoooIwe bojooooo