Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
mtokeje? we na nani?usitapikie humu subiri tutoke naona yamekufika hapa
mtokeje? we na nani?usitapikie humu subiri tutoke naona yamekufika hapa
naona umekasilika mpaka umetaka kutapika kwa hyo style ya dogo mondimtokeje? we na nani?
WCB sio wabunifu ni vilaza tuHuu ndio muonekano mpya wa mtindo wa nywele wa kijana Raymond wa wasafi,kijana anaye hit kwa sasa na ngoma yake ya natafuta kiki kiukweli kwa muonekano huu wa mtindo wa nywele aliouweka naona hajapendeza kabisa ni bora angebaki na muonekano wa kawaida ulikuwa poa sana.View attachment 375670View attachment 375671View attachment 375672View attachment 375673
Daaah nusu na robo ni dindeHayo ndo mapozi gani tena?
Hadi kurembua na macho?
Lawwwd hammercy!
Ndio staili ya... Wa Darndo staili gan hii sasa
Raymond Mdogo wangu toka Mbeya umekuja kuwaje! Namjua huyu dogo toka kitambo kabla hajafahamika na kweli dogo ni muimbaji mzuri ila hiki nini sasa
Wasanii wa bongo ifike muda wajue usanii sio lazima ubadilishe muonekano ili kuonekana wewe ni msanii, fanya Kazi usanii wako utaonekana tu. Watu kama kina Ben Pol wanawika na nadhifu pasipo Kuweka hayo maheleni
Halafu naona sasa hoop earrings ndiyo mtindo mpya kwa wasanii wetu ili waonekane wamekubuhu kumbe ndiyo wanaonekana machoko zaidi. Smh
Huyu jamaa anawakilisha wanaume wa Dar....
Hadi JPM kaamua kuondoka Dar na kuhamishia serikali Dodoma. Ili awaachie jiji lenu lililoaaniwa.