Muonekano mpya wa barabara za Jiji la Arusha

Muonekano mpya wa barabara za Jiji la Arusha

ddsvxnjvwaiuret-jpg.782610

Kuna Noah au Alphad upande huu wenye bodaboda inaenda WRONG-WAY....Ndio ugeni wa dual carriageway?!!!


😀😀😀
 
Hizo barabara ni kama vijiji vya dubai/Oman 😀😀😀 bado tuko nyuma sana
Hata kama ingekuwa ni vitongoji vya Dubai lakini kwa upande wetu ukilinganisha na tulikotoka tumepiga hatua hakuna shida wewe nenda kaishi huko Dubai sisi tutaendeleza nchi yetu hatua kwa hatua
 
Hizo barabara ni kama vijiji vya dubai/Oman 😀😀😀 bado tuko nyuma sana
Hata kama ingekuwa ni vitongoji vya Dubai lakini kwa upande wetu ukilinganisha na tulikotoka tumepiga hatua hakuna shida wewe nenda kaishi huko Dubai sisi tutaendeleza nchi yetu hatua kwa hatua
 
Omba msaada kwa mr google mkuu
Nimefika Dubai napajua vizuri sana....wala siko hapa kulinganisha miundombinu bali kuhakikisha na sisi tunajenga miundombinu ya maana kwa ajili sisi wenyewe na wageni wanaokuja kwetu.
 
Alafu eti tunatumia hela ya ndani wakati amejenga kwa mkopo wa benki ya dunia ambayo ni sawa na bil 76 kilomita 14

bado tena atujengee uwanja wetu wa kisongo kwa mkopo wa benki ya dunia alafu kwa tetesi benki ya dunia inawaya waya kutupa hela. Jiwe sometimes anamtindio wa ubongo anafikiria kila mtanzania ni kichwa maji kama bashite wake
 
Back
Top Bottom